Airports: Kenya vs Tanzania

Airports: Kenya vs Tanzania

Serikali kununua ndege mpya tano​



WEDNESDAY AUGUST 10 2022​

ndege pic

Summary

Serikali inakusudia kununua ndege mpya tano katika mwaka wa fedha 2022/23 ikiwemo ndege moja ya mizigo, idadi ambayo itaifanya serikali kuwa na jumla ya ndege 16.


New Content Item (1)

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dar es Salaam. Serikali inakusudia kununua ndege mpya tano katika mwaka wa fedha 2022/23 ikiwemo ndege moja ya mizigo, idadi ambayo itaifanya serikali kuwa na jumla ya ndege 16.

Tayari serikali imetenga Sh353 bilioni katika bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya kugharamia masuala mbalimbali katika sekta ya usafiri wa anga ikiwemo ununuzi wa ndege hizo.

Akizungumzia utekelezaji wa bajeti katika wizara yake mwishoni mwa wiki, Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa alisema hadi kufikia Mei 2022, Serikali ilikamilisha ununuzi wa ndege tatu mpya na kuzikabidhi kwa Shirika la Ndege nchini (ATCL) na kuendelea kutumika.

Alizitaja ndege hizo kuwa ni Dash 8 Q400 moja yenye uwezo wa kubeba abiria 76 na ndege mbili aina ya Airbus A220-300 zenye uwezo wa kubeba abiria 132 kila moja.

Profesa Mbarawa alisema kuongezeka kwa ndege hizo kumeifanya ATCL kuwa na jumla ya ndege mpya 11 ikilinganishwa na ndege nane zilizokuwepo mwaka 2020/2021.

Waziri huyo alisema malengo ya mwaka wa fedha 2022/23 ni malipo ya ununuzi wa ndege tano mpya ambapo ndege moja ni aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, ndege mbili aina ya Boeing 737-9, ndege moja ya mizigo aina ya Boeing 767-300F na ndege moja aina ya Dash 8 Q400.

“Tumepanga kugharamia mahitaji ya awali ya uendeshaji wa ndege tano ambazo ni Boeing 787 – 8, Boeing 737- 9 mbili (2), Boeing 767 - 300F na Dash 8 Q400 (1). Pia, kununua vifaa vya kuhudumia ndege na abiria viwanjani,” alisema Profesa Mbarawa.

Aliongeza kwamba wamepanga kuendelea na ukarabati na ununuzi wa vifaa vya karakana za matengenezo ya ndege (Hangar) za Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Profesa Mbarawa alibainisha Mipango mingine ya wizara yake mwaka huu kuwa ni ukarabati wa jengo la ofisi za makao makuu ya ATCL lililopo kiwanja cha ndege cha JNIA Terminal I.

Alisema serikali itaendelea na ukarabati wa nyumba 38 zilizopo KIA, kujenga eneo la mafunzo ya awali kwa wana anga, kuendelea kulipa madeni ya Shirika na kukarabati na kujenga majengo ya kuhifadhia mizigo katika viwanja vya ndege vya JNIA, KIA na Songwe.

Kuhusu treni ya kisasa, Profesa Mbarawa alisema Septemba mwaka huu itafanyiwa majaribio na baada ya hapo watatoa taarifa rasmi baadaye kuhusu kuanza kutumika kwa usafiri huo katika kipande cha Dar es Salaam - Morogoro.

 

France to open its airspace to Tanzanian airlines​



FRIDAY JULY 08 2022​

ATCL pic

Summary

  • Areas of interest that had been agreed by experts during the meeting include opening Paris and Marseille for designated airlines of Tanzania as long-haul routes and long-haul cargo between the two countries.


Alex pic

By Alex Nelson Malanga
More by this Author

Dar es Salaam. Tanzanian airlines will soon be able to fly to and from Paris, Marseille, Mayotte and Reunion, thanks to the review of the Bilateral Air Services Agreement (Basa) between Tanzania and France.

In a fresh bid to facilitate the recovery of the aviation sector that has been hit hard by Covid-19 pandemic, experts from the two countries last week met in Mayotte – a French administrative territory – to review the pact that was signed in1978.

The Citizen understands that the review of Basa in the belief that it was definitely overtaken by events, saw four areas of interest being agreed upon in the new accord that will be signed shortly once institutional formalities of the two countries have been completed.

Areas of interest that had been agreed by experts during the meeting include opening Paris and Marseille for designated airlines of Tanzania as long-haul routes and long-haul cargo between the two countries.

They also agreed to add Mayotte and Reunion destinations which are not in the list of entry points for the Tanzanian designated airlines in the current Basa.

The new Basa also provides a room for code-sharing arrangements between airlines from Tanzania and France and those from third countries.

ADVERTISEMENT

The Tanzanian delegation to the Basa negotiations was led by the assistant director air transport and meteorological services for the Ministry of Works and Transport, Mr Paul Chiganga.

The delegation consisted of experts from Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Tanzania Airports Authority (TAA), Zanzibar Airports Authority (ZAA) and representatives from Air Tanzania Company Limited (ATCL) and Precision Air.

Mr Chiganga said addition of Mayotte and Reunion destinations in the current Basa will allow the Tanzanian airlines to operate between points in Tanzania and those two important destinations which are all in the administrative territory of France.

On the question of opening Paris and Marseille for designated airlines of Tanzania as long-haul routes and long-haul cargo, he said it was important for Tanzanian airlines to expand their networks.

“Having in mind the plans by ATCL to acquire an all-cargo freighter in the near future, we agreed, during the negotiations, to open up Paris and Marseille for long-haul cargo between the two countries,” said Mr Chiganga in the document seen by The Citizen.

Adding: “We further agreed to open Mayotte (short-haul) for cargo from Tanzania and vice versa, for ATCL and Precision Air in future.”

He exuded his optimism that allowing code sharing arrangements between airlines from the two countries and airlines from third countries will create ample room for flight network expansion of designated airlines of Tanzania and France.

ATCL managing director Ladislaus Matindi told The Citizen that the review of the Basa will enable the national carrier to expand its footprints, with Mayotte topping the list of priorities, to start with.

“Preparations to start flying to Mayotte are done. We need some arrangements and soon we will start flying,” the ATCL boss recounted.

Precision Air’s marketing and corporate communications manager Hilary Mremi said the review of Basa will open doors for business.

“The review of Basa will open doors for partnership with French airlines,” said Mr Mremi.

Like ATCL, Precision Air, also expressed its interest to start with flying to Mayotte, saying preparations have already started.

The review of Basa suggests that the two countries are dancing to the tune of the celebratory current situation whereby airspaces are being opened globally after their closure of, most of them, for more than two years.

The head of the French delegation and co-chair of the negotiations meeting, Mr Emmanuel Vivet, said it was the first time that France hosted a big negotiation of that magnitude with another country in Mayotte.

“So, we are not taking this occasion lightly and the people of Mayotte feel a great presence of Paris in Mayotte by just deciding that the negotiations on air transport services should be held here” noted Mr Vivet, who doubles as the French Civil Aviation Authority director general.

The 1978 Basa will cease to be in effect once the new agreement is signed and entered into force.

Ila kenya wako vizuri tu
 
Air Tanzania set to launch Central, West Africa and Europe routes

Air Tanzania set to launch Central, West Africa and Europe routes​

ESTHER TAKWA
15/08/2022

Tanzania National Carrier Air Tanzania Company is expecting to launch new flights to Central, West and Europe.

The National carrier’s chief executive officer Eng Ladislaus Matindi revealed this in Dar es Salaam on Monday saying the new destinations, which will be launched by next year, are Nigeria, Ghana and Congo-Kinshasa.

The CEO stated that there will also be a direct flight to London.

He said the carrier is strengthening its operations by reviving their flight to China.

By next year, the CEO said, the flights to Goma and Kinshasa in DRC will be operational.

“Trips to South Africa are coming back but now we are starting trips that will attract people to use Air Tanzania to connect their trips, especially to Europe,” ATCL czar said.

 
Air Tanzania set to launch Central, West Africa and Europe routes

Air Tanzania set to launch Central, West Africa and Europe routes​

ESTHER TAKWA
15/08/2022

Tanzania National Carrier Air Tanzania Company is expecting to launch new flights to Central, West and Europe.

The National carrier’s chief executive officer Eng Ladislaus Matindi revealed this in Dar es Salaam on Monday saying the new destinations, which will be launched by next year, are Nigeria, Ghana and Congo-Kinshasa.

The CEO stated that there will also be a direct flight to London.

He said the carrier is strengthening its operations by reviving their flight to China.

By next year, the CEO said, the flights to Goma and Kinshasa in DRC will be operational.

“Trips to South Africa are coming back but now we are starting trips that will attract people to use Air Tanzania to connect their trips, especially to Europe,” ATCL czar said.

warudishe kwanza TCH na waitengeneze TCM we are one plane away from dusrupting routes ..they should be serious with maintance
 
Wewe unajua Jomo kenyatta Airpot au unatania tu....Hili dude moja unganisha vya Tz vyote bado hulikuti
 
Back
Top Bottom