Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
TTCL ni miyeyusho Mkuu, focus kwenye Airtel huko ni uhakikaDah! Afadhali manake nimefuatilia TTCL hadi nimechoka. Hakuna namna itabidi Tigo Postpaid niwapige chini na 80GB zao! Nawe Mkuu Kanungila Karim, bakini na Fiber Internet yenu ya TTCL