Airtel Asante, mlipotufikisha natupa line yenu

Airtel Asante, mlipotufikisha natupa line yenu

Kuanzia muda Huu sitoitumia Tena line yenu Naona mnataka kutufilisi.

Leo nimeunga Bando kama kawaida Yangu .
-ofa yako kisha
-Bando Zaidi

Sikufungua video
Wala Sikutumia YouTube,TikTok wala Ista
Zaidi Ni kusoma message za WhatsApp tu
Eti inaingia SMS Ya Kingesengese umemtumia 75% Ya Bando la 2000


Upuzi Huo
tutaheshimiana tu... Tigo.. elfu 35 tu kwa mwaka mzima

HAKUNA VYA BURE

Screenshot_20220225-092843.png
 
Tatizo la watanzania wengi ni technical know-how na si lawama juu ya mitandao.
Una smartphone, kwanini usiiset ifanye kazi vile utakavyo, ile bundle kwa kiwango utakacho, utumie apps uzitakazo mwenyewe?
Wengi wanamiliki smartphone ila hawajui matumizi sahihi ya simu hizo.
 
Tatizo la watanzania wengi ni technical know-how na si lawama juu ya mitandao.
Una smartphone, kwanini usiiset ifanye kazi vile utakavyo, ile bundle kwa kiwango utakacho, utumie apps uzitakazo mwenyewe?
Wengi wanamiliki smartphone ila hawajui matumizi sahihi ya simu hizo.
Hio ni moja ya janga kubwa
 
Tatizo la watanzania wengi ni technical know-how na si lawama juu ya mitandao.
Una smartphone, kwanini usiiset ifanye kazi vile utakavyo, ile bundle kwa kiwango utakacho, utumie apps uzitakazo mwenyewe?
Wengi wanamiliki smartphone ila hawajui matumizi sahihi ya simu hizo.
HOJA NI KWAMBA, KWANINI MALALAMIKO YAMEKUWA MENGI KATIKA AWAMU HII NA SI AWAMU NYINGINEZO?
 
Back
Top Bottom