Airtel Asante, mlipotufikisha natupa line yenu

tutaheshimiana tu... Tigo.. elfu 35 tu kwa mwaka mzima

HAKUNA VYA BURE

 
Tatizo la watanzania wengi ni technical know-how na si lawama juu ya mitandao.
Una smartphone, kwanini usiiset ifanye kazi vile utakavyo, ile bundle kwa kiwango utakacho, utumie apps uzitakazo mwenyewe?
Wengi wanamiliki smartphone ila hawajui matumizi sahihi ya simu hizo.
 
Hio ni moja ya janga kubwa
 
HOJA NI KWAMBA, KWANINI MALALAMIKO YAMEKUWA MENGI KATIKA AWAMU HII NA SI AWAMU NYINGINEZO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…