Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 284
wapendwa..
Naomba kujuzwa kuhusu kazi tajwa hapo juu (baada ya kusumbuliwa na maswali bila majibu)...
-mazingira ya kazi
-idadi ya masaa ya kazi
-malipo yake
-aina ya mkataba
-kwa kijana wa bongo (bachelor graduate).. je ni ajira ainayofaa kwa kuanzia?
asentioooh....
Naomba kujuzwa kuhusu kazi tajwa hapo juu (baada ya kusumbuliwa na maswali bila majibu)...
-mazingira ya kazi
-idadi ya masaa ya kazi
-malipo yake
-aina ya mkataba
-kwa kijana wa bongo (bachelor graduate).. je ni ajira ainayofaa kwa kuanzia?
asentioooh....