Habari wanajamvi
Nimekuwa nikipiga simu huduma kwa wateja Airtel mara nyingi na kwa kweli mara zote nakutana na madudu na majibu ya watu ambao nazani hawajui wanachokifanya. Kumbe TCRA wamewa rank wa mwisho kwenye kutoa huduma nzuri za kumtosheleza mteja ( customer satisfaction survey ) uku Voda na Tigo wakiwa ni vinara.
Ila nimejaribu kufuatilia nkagundua tatizo ni hao wafanyakazi ni kama wamechoka na kazi hao maslai yao sio mazuri, nlichoka nliposikia jamaa wanalipwa kiduchu mno kiasi cha kuwafanya wawe na kama na kimgomo baridi hivi. Lililo nichosha zaidi nikusikia eti baadhi ya wafanyakazi wamefungua kesi itakayosikilizwa tarehe 4 mwezi March pale CMA wanadai malipo ya kusitishiwa mkataba na kupelekwa kampuni nyingine inaitwa SPANCO.Naskia hao wakenya wamegoma tena wanadai nyongeza ya mishahara
. Anayebisha kuhusu huduma mbovu apige 100,170 au 500 aone majibu yake kama hajaambiwa azime simu awashe au system yangu iko chini kata piga tena na kero nyingine nyingi.
MY TAKE: Kama kampuni inafikia mahali pa kushtakiwa na wafanyakazi wake wanaohudumia wateja sisi wateja si ndio tutakaokuwa tunaambulia matusi kila kukicha.
Nimekuwa nikipiga simu huduma kwa wateja Airtel mara nyingi na kwa kweli mara zote nakutana na madudu na majibu ya watu ambao nazani hawajui wanachokifanya. Kumbe TCRA wamewa rank wa mwisho kwenye kutoa huduma nzuri za kumtosheleza mteja ( customer satisfaction survey ) uku Voda na Tigo wakiwa ni vinara.
Ila nimejaribu kufuatilia nkagundua tatizo ni hao wafanyakazi ni kama wamechoka na kazi hao maslai yao sio mazuri, nlichoka nliposikia jamaa wanalipwa kiduchu mno kiasi cha kuwafanya wawe na kama na kimgomo baridi hivi. Lililo nichosha zaidi nikusikia eti baadhi ya wafanyakazi wamefungua kesi itakayosikilizwa tarehe 4 mwezi March pale CMA wanadai malipo ya kusitishiwa mkataba na kupelekwa kampuni nyingine inaitwa SPANCO.Naskia hao wakenya wamegoma tena wanadai nyongeza ya mishahara
. Anayebisha kuhusu huduma mbovu apige 100,170 au 500 aone majibu yake kama hajaambiwa azime simu awashe au system yangu iko chini kata piga tena na kero nyingine nyingi.
MY TAKE: Kama kampuni inafikia mahali pa kushtakiwa na wafanyakazi wake wanaohudumia wateja sisi wateja si ndio tutakaokuwa tunaambulia matusi kila kukicha.