Airtel kwenye bando ni wezi wasio na aibu. Nnape hawezi kutusaidi, tufanyeje?

Airtel kwenye bando ni wezi wasio na aibu. Nnape hawezi kutusaidi, tufanyeje?

Je kwa line ya mwanzo unaweza badilisha ikawa ya chuo, na huduma za mabadiliko unafanyia kwenye maduka yao au hata wakala?

Naomba kujuzwa tafadhari.
Hizo line ndani zina program tofauti.
Ya chuo ina feature ya *148*55#, wakati ya kawaida haina.

Hivyo mkuu ukitaka namba ya kawaida ya zamani uigeuze kuwa ya chuo, nenda kwene maduka yao kurenew waweza bahatisha.

Lakini katika kurenew utakapocommand namba yako hiyo waweza kukuta haipo kwenye orodha pia.

Kwa hiyo uwe tayari kubadili namba.

Unaweza kutengeneza namba inayoshabihiana na hiyo ya zamani, ikatofautiana kwa tarakimu nne za mwanzo tu.
Mfano ya zamani ni 0621...ya sasa wawezakuta ni 0626... na tarakimu zako 6 zinazofuata zikakubaliana.
Sijui umenielewa mkuu?
 
Airtel katika bando la internet si wezi tu ni majambazi yasiyo na haya. Nchi hii wananchi wanaibiwa, wananyanyaswa hakuna mtetezi.

Wakubwa hawafanyiwi hivi hawawezi kustuka. TCRA wako pale, waziri yuko pale hawana msaada kwa wananchi. Unaweka bando hata hujatumia unaanza kupokea msgs kuwa bando lako la internet limeisha, maumbwa utafikiri wanakujali kumbe mashetani yasiyo na haya.

Wameona watu wengi wanatumia internet wakawekeza uwizi wao humo. Kwanza zile messages zao ni kero, kwanini ulazimishwe huduma usiyohitaji? Pili wakimaliza kuiba bando lako wanaenda kutumia salio lako kwa nguvu bila ridhaa yao, huu ni ubakaji wa rasilimali ya mtu.

Nani wa kutusaidia? Sijawahi kuwa na imani na Nnape, labda mh. Waziri mkuu. Mbona nchi za watu upuuzi huu siyo rahisi, kwanini Tanzania?
acha kutumia bidhaa zao, tupaline weka ingine
 
vodacom nao wameanza kukata salio 100 kila ukiweka vocha.bila hata kukutaarifu unachangia umeme au ziara za makonda,ili ujue.
 
Hivi bado mnanunua bando 😂🤣😁😁 tumieni unlimited acheni bando za kupimiwa Izo ni kausha damu 🤣
 
Back
Top Bottom