chapachapa
Member
- Jan 14, 2013
- 93
- 21
Pamoja na kuvumilia nainua mikono na kaachana nao.
Sababu ni nyingi kwanza badala ya kuendeleza vivutio ili wateja waendelee kuwepo mmeamua kupunguza ofa. Mnamfahamu kabisa kwamba watu wanatumia internet zaidi kwa bando za ofa nyinyi mmegandamiza tshs 1000 kwa MB 500.
Pili nimewahi kutuma pesa kupitia Airtel money kwenda tigo pesa, pesa haikufika kwa wakati na ilifika baada ya Mimi kufunga safari hadi ofisi zenu maana namba yenu huduma kwa wateja haina msaada na hairuhusu kuongea na mhudumu labda Kama mnayo namba nisiyoijua.
Ngoja niwakimbie
Sababu ni nyingi kwanza badala ya kuendeleza vivutio ili wateja waendelee kuwepo mmeamua kupunguza ofa. Mnamfahamu kabisa kwamba watu wanatumia internet zaidi kwa bando za ofa nyinyi mmegandamiza tshs 1000 kwa MB 500.
Pili nimewahi kutuma pesa kupitia Airtel money kwenda tigo pesa, pesa haikufika kwa wakati na ilifika baada ya Mimi kufunga safari hadi ofisi zenu maana namba yenu huduma kwa wateja haina msaada na hairuhusu kuongea na mhudumu labda Kama mnayo namba nisiyoijua.
Ngoja niwakimbie