Mkuu
We kavamie tu head office yao upige miti office nzima
Wamezidi
Huwa unazima data unapokuwa hutumii internet?kwakweli tunaibiwa sana bando za simu wakati huu yaani leo nmenunua gb 3 ndani ya lisaa tu naambiwa nmetumia asilimia 75 ya bando langu.mh halotel hawa...