Jamani siku tatu hizi zilizopita naona kifurushi kwangu kinaisha sana, hapo zingatia sifui video wala kudownload chochote.
Unakuta GB 2 zinaisha ndani ya lisaa, Seriously? Hivi ni kwangu tu au kwa wote?
Whatsapp tu ndo natumia sana na nimedisable media zote kujidownload automatic
Unakuta GB 2 zinaisha ndani ya lisaa, Seriously? Hivi ni kwangu tu au kwa wote?
Whatsapp tu ndo natumia sana na nimedisable media zote kujidownload automatic