M Mungu Tusamehe Afrika Senior Member Joined Jan 18, 2022 Posts 139 Reaction score 204 May 16, 2022 #1 Kwa kweli airtel ni matako kwa huduma mbovu zaidi. Kwa sasa ukitumiwa sms 1 injirudia zaidi ya mara mia na ukiomba msaada wanakwambia tunalifanyia kazi. Huyo diamond ndiyo kaja kuyaleta haya au hao maIT wenu wanawahujumu?
Kwa kweli airtel ni matako kwa huduma mbovu zaidi. Kwa sasa ukitumiwa sms 1 injirudia zaidi ya mara mia na ukiomba msaada wanakwambia tunalifanyia kazi. Huyo diamond ndiyo kaja kuyaleta haya au hao maIT wenu wanawahujumu?