simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Nov 1 Airtel money imezindua huduma ya kutuma,kupokea na kutoa hela nchi za Tanzania, Kenya,Uganda na Rwanda. Waliotumia huduma hii tunaomba mtujuze faida na hasara ya huduma hii muhimu hasa kwa wafanya biashara wadogo.