Airtel muache hii tabia, haipendezi

Airtel muache hii tabia, haipendezi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hili jambo nimejaribu kuongea na jamaa wa 100 nikajua watabadilika

Sasa sijui ni X wangu yuko airtel anafanya haya

Yaani na wiki ya pili natumiwa Meseji ya bundle lako limeisha tafadhali. Saa saba usiku mpaka saanane na robo

Nimewaza sana n mm pekee ama n wote?

Sasa hamwoni huu mda mnaweza vunja ndoa za watu mwanamke akahisi nyumba ndogo asbh anakutana na msg ya airtel

Haipendezi badiliken kwenye hili pls achen kutuma msg usiku wa ma nane wengine tumelala na hatuwezi weka silent simu kisa Airtel

Matumaini yangu mtaacha kabisa kutuma hizi msg usiku wa manane.

Na kama X wangu unasoma hapa naomba kama unahusika acha huko tushatoka tunajenga familia bana siku hizi

All the best
 
Wajinga sana hawa Airtel mm nshaacha kabsa kuweka bandle kwa hawa watu na kila siku saa saba usiku nasikia msg inaingia kuangalia wananikumbusha ujinga wao.
 
Wana mambo ya ajabu sana siyo wewe tu. Na pia wana kutumia SMS kuwa bando lako limeisha lakini ukiangalia unakuta bado una mb zaidi ya mia mbili na kitu
 
Wana mambo ya ajabu sana siyo wewe tu. Na pia wana kutumia SMS kuwa bando lako limeisha lakini ukiangalia unakuta bado una mb zaidi ya mia mbili na kitu
HIII NIMESHTUKA SANA LEO NKAANGALIA NA 230 MBS DAH NKAONA KUMBE HIZI FGR HAZISAIDII KAMA 230 MBS ZINABAKI KWAO HUTUMII MPAKA UONGEZE WHY WANAANDIKA GB 1 KUMBE 750
 
TIGO NAO WAMEANZA MANBO YA AJABU UNAWEKA BUNDLE WANAKWAMBIA BUNDLE LAKO KIMEBADILISHWA KULIPA MKOPO

NASHANGAA NIMEKOPA LINI NKAWAPIGIA 100 WANADAI ANGALIA SALIO LAKO NAKUTA LILELILE LIMEPELEKWA KUWA SALIO NKAULIZA WHY MNASEMA LIMEPEKWA KULIPA DENI UMEONA NIMEKOPA ATI HAPANA HII N PROBLEM YA MITANDAO AISÈ

USIPOKUWA MAKINI UNAONGEZA TU PESA KUMBE UNAMZIGO KWENYE SALIO A KUTOSHA

KUNA SIKU NIMEINGIZA MQRA 3
BUKU 3 X 3
INAANDIKA NIMELIPA MADENI NKASEMA WASINTANIE KUPIGA NAKUTA 9000 KWENYE SALIO MMH

YAJAYOO YANAFURAHISHA HAPOO MKATA WAYA AJAJA
 
Back
Top Bottom