Airtel ndiyo mtandao wa ovyo zaidi Tanzania

Ni wajinga sana
 
Duh! Sasa tuende wapi?
 
Pole Sana ndawoo
 
Ingawaa voda Ni wazushi ila internet yao iko vzr Sana than any other mtandao je hili unakubaliana nalo mam angu
 
Ingawaa voda Ni wazushi ila internet yao iko vzr Sana than any other mtandao je hili unakubaliana nalo mam angu
Sifahamu, mimi situmii sana mitandao kwa data, sina uhakika upi ni mzuri zaidi.
 
Kutaja TU namba Yako Uliona shida gani mmasai mmoja wee,yaani tatizo lenu ni wabishi sana kama wenzenu wapare na wasambaa.😁
 
Ukitaka ujue Airtel ni waapuzi ukosee muamala Hawawezi Rudisha hata kama ulomtumia Hapatikani...

Wamenipotezea Hela mara mbili namba nilizotuma muhusika unakuta Laini kapoteza mwingine ilikuwa imefungwa nimepiga warudise kila ukipiga unaambiwa masaa 72 hadi nikasamehe
 
Nyinyi mnaosifia Tigo au YAs kwa sasa hamjawahi Kuwa Nje ya Mji Uko interior tigo hii ukifika tu Mswolwa inaanza Kujiuliza hapa Wapi na Network Change, Airtel ndo iko na Coverage kubwa nchi hii Kuliko mtandao wowote ule nadhani
 
Mimi halotel wanafweka 400 huwa nawauliza wanasema nimejiunga huduma sasa hiyo huduma 1000 haikatwa au 2000 l. Nikiweka vocha kuanzia 10000 lazima wakate ni wahuni acha
 
Nyinyi mnaosifia Tigo au YAs kwa sasa hamjawahi Kuwa Nje ya Mji Uko interior tigo hii ukifika tu Mswolwa inaanza Kujiuliza hapa Wapi na Network Change, Airtel ndo iko na Coverage kubwa nchi hii Kuliko mtandao wowote ule nadhani
Huu mtandao umekuwa ni shida sana hata hauna maana kabisa
 
Kusema bora zaidi hapo hapana mkuu nao ni kimeo kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…