Airtel ni wezi na vibaka wanaomiliki kampuni ya mawasiliano

Airtel ni wezi na vibaka wanaomiliki kampuni ya mawasiliano

Jbst

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,971
Reaction score
4,085
Sijui ni mimi tu au na wenzangu mnakutana na huu wizi wa data!! Naweka bundle la 5,000 ila cha ajabu ni kwamba wakinitumia ile sms ya umefikia 75% ya matumizi ya bundle nililoweka na muda huo huo sms ya kifurushi chako kimekwisha inaingia!

Yaani sms ya 75% bando nililotumia inaingia muda huu hata dk 1 haiishi na sms ya kfurushi Kimekwisha inaingia!! Ina maana 25% inatumika kwa sekunde kama 30?

Huu ni wizi na utapeli, kwanza situmii sana Instagram au YouTube situmii kabisa zaidi ya JF.

Je, wenzangu mnakutana na huu wizi au ni mimi tu?
 
Punguza apps ambazo zinachakata Mb's,mfano kama WhatsApp usiweke auto download kwenye picha,video,audio na document

Zuia apps nyengine sizichakate data yani ikiwezekana hizo apps unaweza kuziweka OFF kabisa upande wa setting kule.

Hii ilinitokea pindi natumia android ya kawaida tu (tecno) [emoji2][emoji2][emoji2] kwa kuwa shughuri zangu zinategemea Mb's nikijiunga Gb 1.3 nilikuwa natumia kawaida tu,kimbembe nilipo anza ku2mia I phone 11 ya wife,nilikuwa najiunga kwa siku mara 2 ikiwa nikirudi kwenye ki tecno changu bundle la wiki Gb 1.3 natumia siku mbili si mbaya sana.
Ila nikagundua njia nyepesi ya kuzuia Mb's zangu ziwe salama ni ku zima apps kama inst, tictok, snapchat na nk,basi nikawa natumia vizuri tu
 
Punguza apps ambazo zinachakata Mb's,mfano kama WhatsApp usiweke auto download kwenye picha,video,audio na document

Zuia apps nyengine sizichakate data yani ikiwezekana hizo apps unaweza kuziweka OFF kabisa upande wa setting kule.

Hii ilinitokea pindi natumia android ya kawaida tu (tecno) [emoji2][emoji2][emoji2] kwa kuwa shughuri zangu zinategemea Mb's nikijiunga Gb 1.3 nilikuwa natumia kawaida tu,kimbembe nilipo anza ku2mia I phone 11 ya wife,nilikuwa najiunga kwa siku mara 2 ikiwa nikirudi kwenye ki tecno changu bundle la wiki Gb 1.3 natumia siku mbili si mbaya sana.
Ila nikagundua njia nyepesi ya kuzuia Mb's zangu ziwe salama ni ku zima apps kama inst, tictok, snapchat na nk,basi nikawa natumia vizuri tu
Huwajui vzr Airtel, tumeshafanya mpk zaidi ya hayo na Mwendo wa data kupigwa Ni ule ule
 
Punguza apps ambazo zinachakata Mb's,mfano kama WhatsApp usiweke auto download kwenye picha,video,audio na document

Zuia apps nyengine sizichakate data yani ikiwezekana hizo apps unaweza kuziweka OFF kabisa upande wa setting kule.

Hii ilinitokea pindi natumia android ya kawaida tu (tecno) [emoji2][emoji2][emoji2] kwa kuwa shughuri zangu zinategemea Mb's nikijiunga Gb 1.3 nilikuwa natumia kawaida tu,kimbembe nilipo anza ku2mia I phone 11 ya wife,nilikuwa najiunga kwa siku mara 2 ikiwa nikirudi kwenye ki tecno changu bundle la wiki Gb 1.3 natumia siku mbili si mbaya sana.
Ila nikagundua njia nyepesi ya kuzuia Mb's zangu ziwe salama ni ku zima apps kama inst, tictok, snapchat na nk,basi nikawa natumia vizuri tu
Umemaliza kila Kitu Mkuu. Watu kabla ya Kukurupuka kulaumu Mobile Companies tuanze Kwanza kuangalia Settings za Simu zetu.

Binafsi natumia Airtel tena Bando la MB 400 tu la Wiki na kwa Matumizi yangu ya Kuperuzi tu ( nje ya kuingia YouTube) Facebook, Instagram na Twitter huku nikiwa nipo hapa Jamiiforums na WhatsApp nipo zinanitosha na zinadumu.

Hakuna Mtandao mzuri kama Airtel.
 
nenda kwenye settings>>mobile data >> angalia apps gan zinazomaliza bundle. Binafsi nilikuwa nalaumu sana airtel ila nkaja gundua vpn 1.1.1.1 inamaliza bundle langu kuliko app zote coz ipo on muda wote toka nizime app zote ambazo sizitumii sana sjawahi kulalamika tena na tena nimegundua airtel wananipa mb 900 instead ya mb 850 kwenye bundle la week
 

Attachments

  • A36B4264-CD4A-4A55-9819-3EF84DAA67F2.png
    A36B4264-CD4A-4A55-9819-3EF84DAA67F2.png
    39.5 KB · Views: 10
nenda kwenye settings>>mobile data >> angalia apps gan zinazomaliza bundle. Binafsi nilikuwa nalaumu sana airtel ila nkaja gundua vpn 1.1.1.1 inamaliza bundle langu kuliko app zote coz ipo on muda wote toka nizime app zote ambazo sizitumii sana sjawahi kulalamika tena na tena nimegundua airtel wananipa mb 900 instead ya mb 850 kwenye bundle la week
Mpaka nilete hii mada hapa una uhakika sijafanya utafiti wa sim yangu?
 
Sijui ni mimi tu au na wenzangu mnakutana na huu wizi wa data!! Naweka bundle la 5000 ila cha ajabu ni kwamba wakinitumia ile sms ya umefikia 75% ya matumizi ya bundle nililoweka na muda huo huo sms ya kifurushi chako kimekwisha inaingia!

Yaani sms ya 75% bando nililotumia inaingia muda huu hata dk 1 haiishi na sms ya kfurushi Kimekwisha inaingia!! Ina maana 25% inatumika kwa sekunde kama 30?

Huu ni wizi na utapeli, kwanza situmii sana instagram au YouTube situmii kabisa zaidi ya JF.

Je, wenzangu mnakutana na huu wizi au ni mimi tu?
0694 100 100

WhatsApp namba yao hio wacheck
 
Back
Top Bottom