Grand Canyon
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 545
- 1,191
HIZO SMS ZINATUMWA KIMAKOSA. MIMI NINA GB 11 LAKINI WANANITUMIA SMS HIYO KILA SIKU. ULIZA SALIO UTAJUA UKWELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tcra wako busy kufuatilia wanaolike post za kigogo kule twitter na kufungia nyimbo za wasanii,watanzania wanaibiwa mchana kweupe wala hawana habari!Yaani ndani ya dakika 8 nimealiza 2GB? Haya bhana ila mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
View attachment 1709011
ma tenaGB 1024 kwa 500/- [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata pacha wao voda nywiii nao hovyo kabisaYaani ndani ya dakika 8 nimealiza 2GB? Haya bhana ila mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
View attachment 1709011
Msije huku halotel tumejaa mlikuwa wapi. Mtafanya bando liende polepole endeleeni kufurahia Airtel huduma borahawa jamaa wanafyeka kinoma mnaotumia HALOTEL hebu nishawishini
Kwendaa tunakuja mbona we hukuanzia huko??Msije huku halotel tumejaa mlikuwa wapi. Mtafanya bando liende polepole endeleeni kufurahia Airtel huduma bora
Na bado !Yaani ndani ya dakika 8 nimealiza 2GB? Haya bhana ila mkumbuke malipo ni hapa hapa duniani.
View attachment 1709011
DuhMkuu nilipo speed ni 3G so hata kama kuna system update haiwezi kula GB2 kwa dakika 8