Airtel Tanzania badilikeni huduma kwa wateja ni mbovu sana

Airtel Tanzania badilikeni huduma kwa wateja ni mbovu sana

Angada

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2024
Posts
506
Reaction score
949
Moja kwa Moja kwenye mada husikq
Leo nilikuwa mahitaji kuongea na huduma kwa wateja kwa kupiga namba 100 yaliyonikuta ni kupata huduma mbovu pasipo kuongea na watu wa huduma kwa wateja( customer Care
Kwanza ukipiga unapata kibwagizo kwa wale wanao hitaji Puk, alafu wanakija na option 2 za kuchagua, nikachagua namba 2
Hapo ndio kisanga kikaanza Kila nikibonyeza 2 naambiwa wameshindwa kutambua chaguo la huduma niiliyohitaji
Nikajaribu kama mara 4 majibu ni hayo hayo kushindwa kujua chaguo la huduma niiliyohitaji

Kwa ushauri tu
Waweke menu ya huduma zote ukisha piga namba 100 sio kusumbua wateja

Kwa kifupi Hadi sasa sijawezq kuongea na mtoa huduma kama ipo njia nyingine naomba wadau mniambie nifanyaje

Inasikitisha kuona mtandao mkongwe na mkubwa alafu wanatoa huduma mbovu

Mrejesho:
Jambo langu limetatuliwa kupitia Whatsapp,
Thread closed
 
Bongo hakuna cutomer care bali ni Customer KERO.

Upon sahihi mkuu
Hadi nikajiuliza hivi wataalam wa IT bongo hawapo au waliopo Airtel Tanzania ni vishoka

Yaan wanarudia huduma za kipuuzi kama kukopa Salio na kupata PUk, wakati hizo huduma mteja anawezw kuzikuta ktk menu yao ya huduma kwa wateja
 
Nikiweza kupata huduma niiliyohitaji ka laini kao nakatupilia mbali
 
Moja kwa Moja kwenye mada husikq
Leo nilikuwa mahitaji kuongea na huduma kwa wateja kwa kupiga namba 100 yaliyonikuta ni kupata huduma mbovu pasipo kuongea na watu wa huduma kwa wateja( customer Care
Kwanza ukipiga unapata kibwagizo kwa wale wanao hitaji Puk, alafu wanakija na option 2 za kuchagua, nikachagua namba 2
Hapo ndio kisanga kikaanza Kila nikibonyeza 2 naambiwa wameshindwa kutambua chaguo la huduma niiliyohitaji
Nikajaribu kama mara 4 majibu ni hayo hayo kushindwa kujua chaguo la huduma niiliyohitaji

Kwa ushauri tu
Waweke menu ya huduma zote ukisha piga namba 100 sio kusumbua wateja

Kwa kifupi Hadi sasa sijawezq kuongea na mtoa huduma kama ipo njia nyingine naomba wadau mniambie nifanyaje

Inasikitisha kuona mtandao mkongwe na mkubwa alafu wanatoa huduma mbovu
Tigo nao pia, muhudumu akipokea simu anaongea kama yuko kwenye jogging ya wasafi.
 
Tigo nao pia, muhudumu akipokea simu anaongea kama yuko kwenye jogging ya wasafi.

Airtel wamezidi kwa huduma kwa wateja mbovu
Yaan kama mtu ana laini ya Airtel ajaribu aone na aje hapa athibitishwe maelezo yangu
 
Moja kwa Moja kwenye mada husikq
Leo nilikuwa mahitaji kuongea na huduma kwa wateja kwa kupiga namba 100 yaliyonikuta ni kupata huduma mbovu pasipo kuongea na watu wa huduma kwa wateja( customer Care
Kwanza ukipiga unapata kibwagizo kwa wale wanao hitaji Puk, alafu wanakija na option 2 za kuchagua, nikachagua namba 2
Hapo ndio kisanga kikaanza Kila nikibonyeza 2 naambiwa wameshindwa kutambua chaguo la huduma niiliyohitaji
Nikajaribu kama mara 4 majibu ni hayo hayo kushindwa kujua chaguo la huduma niiliyohitaji

Kwa ushauri tu
Waweke menu ya huduma zote ukisha piga namba 100 sio kusumbua wateja

Kwa kifupi Hadi sasa sijawezq kuongea na mtoa huduma kama ipo njia nyingine naomba wadau mniambie nifanyaje

Inasikitisha kuona mtandao mkongwe na mkubwa alafu wanatoa huduma mbovu
Muda mwingine hata ukiwapata hawa watoa huduma unaweza ukawaeleza changamoto. Wasiielewe na wakakupa majibu ambayo wanaona wao yanafaa. Hii mitandaobyote hawatofautiani sana
 
Moja kwa Moja kwenye mada husikq
Leo nilikuwa mahitaji kuongea na huduma kwa wateja kwa kupiga namba 100 yaliyonikuta ni kupata huduma mbovu pasipo kuongea na watu wa huduma kwa wateja( customer Care
Kwanza ukipiga unapata kibwagizo kwa wale wanao hitaji Puk, alafu wanakija na option 2 za kuchagua, nikachagua namba 2
Hapo ndio kisanga kikaanza Kila nikibonyeza 2 naambiwa wameshindwa kutambua chaguo la huduma niiliyohitaji
Nikajaribu kama mara 4 majibu ni hayo hayo kushindwa kujua chaguo la huduma niiliyohitaji

Kwa ushauri tu
Waweke menu ya huduma zote ukisha piga namba 100 sio kusumbua wateja

Kwa kifupi Hadi sasa sijawezq kuongea na mtoa huduma kama ipo njia nyingine naomba wadau mniambie nifanyaje

Inasikitisha kuona mtandao mkongwe na mkubwa alafu wanatoa huduma mbovu
Bora hata Airtel,voda kuwata ni issue ni kama waliondoa option ya kuongea na wahudumu unaweza piga 30times usiwapate ila ukiwapata wako poa
 
Wote ni wale wale ..hawana customer care nzuri...wako zaidi ya hovyo kwenye hiyo sector...hakuna mtandao Bora kuliko mwingine ...
 
Back
Top Bottom