Airtel Tanzania yapandisha gharama za internet!

Status
Not open for further replies.
Asante mrimi kwa taarifa, hata huku niliko network imeanza kupatikana kwenye saa tano hivi, bt muwe mnatujulisha mapema
 
da watakosa wateja.mi mwenyewe nilijiunga na airtell for that service
 
Airtell ikifanya hivyo itakuwa imejivunjia sana.
 
da watakosa wateja.mi mwenyewe nilijiunga na airtell for that service
 
Bad news
Nimejaribu kujiunga kwa maelezo yao nikiwa na salio la sh 2800 kwa kutuma 500MB ikasema sina salio la kutosha, nikajaribu 250MB ikasema sina salio la kutosha, nikajaribu 150MB ikasema sina salio la kutosha, mwisho nikajaribu 50 MB ikakubali bila kusema imenikata sh ngapi wala ni kwa muda gani.
Na ukiangalia salio unatumiwa majibu haya "Ndugu Mteja Salio lako ni: 1. 50MB : 50MB 2. BUNDLE : 1MB"
Sasa sijui kama nilitakiwa nitumie MWEZI au vipi?
 
Tujuze msemaji wa airtel hizo bundle gharama zake zinaendaje?
 

Wanaringa. Wameona wenzao wako high sasa na wao wanaadjust. Sikatai kweli ilikuwa cheap, lkn vipi kuhusu speed manake tulikuwa tunalivumilia hilo kwa kupenda slop
 

Huduma ya 400MB for 2500 kwa mwezi bado ipo, service hii ya internet kwa mwezi ipo kwa two categories kwa sasa mitambo ipo katika marekebisho kwa kuweka arrangement nzuli za bundles mdau jaribu tena baadae itakuwa sawa.
 
Inabidi watupatie maelezo ya ziada la sivyo wasije wakawa wanatuibia, maana hata gharama za mitandao sasa wamepandisha kinyemela. Ile shilingi kwa sekunde naona haipo tena maana unakuta pesa iliyokatika ni nyingi sana japo mtandao mmoja
 
Poleni wapendwa...huduma iyo haijasitishwa bado ipo na itazid kuwepo...leo asubuh kumekuwa na tatizo la netwk kwa baadhi ya mikoa apa nchini poleni sana kwa usumbufu uliojitokeza!

Msemaji ama mropokaji?
 
Mimi nimepata bundle yangu ya 400MB jana tu na naendelea kutesa nayo hadi sasa. Labda iwe ndio ya mwisho, ambayo kwa kweli itakuwa mbaya sana.
 
Nimenunua recharge vocha bahati mbaya muuzaji alikuwa na haraka kaikwaruza vibaya akarudia rudia kuingiza na SIM yangu ikafungiwa ku-recharge.

Sasa tangu jana usiku nahangaika ku-dial 100 ambayo ni huduma kwa wateja lakini kinachoonekana ni network busy. Je, mmeweka hiyo huduma ya nini kama wateja hawawezi kuitumia????

Nawapa mpaka leo usiku kama hamfungui namba yangu nahamia Vodacom.
 
Mimi nimepata bundle yangu ya 400MB jana tu na naendelea kutesa nayo hadi sasa. Labda iwe ndio ya mwisho, ambayo kwa kweli itakuwa mbaya sana.

hata hivo bado tunawasihi wazidi kupunguza bei ya hiyo 400MB kiukweli wafanye walau elfu mbili! au kama vipi waongeze bandle iwe 500MB! wanatunyonya mno hawa!
 
Duh kama itakuwa hivyo nimekwisha maana hata modem yangu ya voda niliuza nije huku aitel mteremko
 
Mtatufukuza wengi, fanyeni nirudi nilikokuwa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…