AIRTEL TRACE MUSIC STAR: Mayunga atoa wimbo wake na Akon - Please don't go away

Dogo ni mult-talented aiseeee dogo ametulia kaimba vizuri yani hakuna tofauti radha yake na mnyamwezi Akon....tia kambani kama hizi tatu dogo lazima utakuwa mbongo wa kwanza kusumbua state
 
Ameonyesha ubunifu mkubwa mno kwa upande wangu.. Coz hiko kibwagizo huwa kinapigwa na high tenor kama hujui kuimba utaishia kukohoa tuhhhh hiyo ndo sababu ilivutia waxing wengi.. Na vilevile ni nyimbo ambayo inabeba icon ya Africa so in short ametuwakilisha vema Sana....

Bigupp to him aisee
 
Mimi kwenye huu wimbo nampongeza sana Akon kwa kweli ni track nzuri, pili sijajua mayunga kaimba verse ya ngapi na akon verse ya ngapi maana naona sauti zinafanana

Hata mimi nimeona kama mtu mmoja tu kaimba ila kasong kameenda shule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…