Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
Bei ya vifurushi Airtel imepanda, 25MB=1500, 150MB Sikumbuki, ila 1GB 15000 2GB........huko hakushikiki! Kisa mtandao wao una kasi, Kwa ujumla vifurushi havinunuliki jana nimejaribu kununua kifurushi 25mb kabla hata sijafumba macho kimekwisha
Nhoja nikapekuwe kwenye makabrasha moderm langu la sasatell nifufue
Nhoja nikapekuwe kwenye makabrasha moderm langu la sasatell nifufue