Selemani Sele
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 319
- 711
Jana dakika zangu za wiki zilikuwa ndo zinaishia meseji ikaingia kwamba kifurushi kitajinunua chenyewe wakati sio makubaliano yetu tabia ya hovyo. nitawapeleka mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela yenyewe ya kulipa deni la watu wamekata nikaamua niende kwa wakala tuHawana tofauti na Halotel wote matapeli
Sijakuelewa. Wamekukata kiasi gani?. Hapo naona 1500? Ndio ilikuwa ya kulipa deni?. N unamaanisha utawapeleka mahakamani au sijaelewaHela yenyewe ya kulipa deni la watu wamekata nikaamua niende kwa wakala tu
Yaani bando bei yake ni 1500 ila mtu anajiunga bando kutokana na matakwa yake hapo imereenew automatically bila ridhaa yanguSijakuelewa. Wamekukata kiasi gani?. Hapo naona 1500? Ndio ilikuwa ya kulipa deni?. N unamaanisha utawapeleka mahakamani au sijaelewa
Ok sawa. Kwa imerenew imetoa wapi hela ya kurenew?. Imetoa kwenye airtel money au wapi boss?. Hii mitandao ni wa ajabu sanaYaani bando bei yake ni 1500 ila mtu anajiunga bando kutokana na matakwa yake hapo imereenew automatically bila ridhaa yangu