njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hakuna waziri anayevutia wawekezaji kupata faida kwenye biashara ya DATA kama Nape nnauye, kijana anapiga kazi aiseeee
Nimeamka nakuta kifurushi cha 1500 nilichokuwa naapata gb1 kwa sasa ni mb 850, hapo ukilalamika utasikia Nape anasema TCRA fatilia hao, utasikia mnalalamika nini wakati Tanzania ni ya 6 afrika kwa kuwa na bei nafuu ya bando na ya 3 kwa speed kali?
Utasikia angalieni simu zenu kuna apps zina run backgrounds zinakula data.
Nimeamka nakuta kifurushi cha 1500 nilichokuwa naapata gb1 kwa sasa ni mb 850, hapo ukilalamika utasikia Nape anasema TCRA fatilia hao, utasikia mnalalamika nini wakati Tanzania ni ya 6 afrika kwa kuwa na bei nafuu ya bando na ya 3 kwa speed kali?
Utasikia angalieni simu zenu kuna apps zina run backgrounds zinakula data.