njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
NAPE NNAUYE atavutia sana wawekezaji kwa jinsi anavyowalinda kwa nguvu zote wapige faidaBasi sawa Mzee wa Haiombwi Hivyo
ok nasikia Tanzania ni ya 6 Afrika kwa kuwa na bei nafuu ya data kwa hiyo malalamiko yetu ni ya kijinga tuManage your data usage yourself, hakuna wakati sasa hivi na kuendelea vifurushi vitashuka bei! Ni kujibajeti upya mwenyewe!
Baba wa nini?Baada ya Baba kuondoka sasa warina asali wanakamua kwelikweli...
kuna watu wamejiajiri kwa hiyo mitandaoKikubwa ni kujiunga ukiwa na jambo la muhimu la kufanya
anakuwa mkali watu wakilalamika utasikia angalieni apps kwenye simu zenu zinakula data, uatasikia Tz ni nchi ya 6 kwa kuwa na cheap data, jamaa hajali kabisa ana roho mbaya sanaHahahahahahah huyu jamaa atakuwa anamegewa fungu lake kila quater.
"Nyie pandisheni kifurushi hicho kinachokuwa kinapatikana muweke asilimia kadhaa kwenye account ya chama na asilimia kadhaa muweke kwenye account yangu ya uswizi πππ awamu yetu hii!"
Analamba asali jamani na hio wizara ina namna inamnufaisha sana ndio maana kila wakati anaomba awekwe humo humo. Anakula na Tisiharaeiiianakuwa mkali watu wakilalamika utasikia angalieni apps kwenye simu zenu zinakula data, uatasikia Tz ni nchi ya 6 kwa kuwa na cheap data, jamaa hajali kabisa ana roho mbaya sana
As long ananufaika anunue tu bandokuna watu wamejiajiri kwa hiyo mitandao
As long ananufaika anunue tu bando
Uliza kwanza source mkuu,ukute huo utafiti wameufanya wenyewe na matokeo wametoa wao wenyewe,kiufupi wamejitafiti.Wabongo wahuni sana aisee ni wazee wa kupika data.ok nasikia Tanzania ni ya 6 Afrika kwa kuwa na bei nafuu ya data kwa hiyo malalamiko yetu ni ya kijinga tu