Airtel yadaiwa mamilioni kortini

Hawa actors hasa hasa watu wa idara ya sheria wakiwa targeted na uhujumu uchumi, hutozisikia tena. Hii case zinaharibu sura ya uwekezaji Tanzania.
Kwa hiyo watumie sauti za watu bila makubaliano, wakaliwe kimya kwa kigezo cha kuharibu sura ya uwekezaji
 
Kwa hiyo watumie sauti za watu bila makubaliano, wakaliwe kimya kwa kigezo cha kuharibu sura ya uwekezaji
Kaa na wanaojua haya mambo yanafanywaje ndo utajifunza usiyoyajua.

Juzi Mwanasheria Mkuu wa Serikali alivyosema ata-deal na watu ndani ya taasisi za serikali wanaozalisha kesi ulifikiri anakurupuka?

Hawa wanaozizalisha makusudi ni lazima wawe targeted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…