UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Kinadada wengi wamekua wepesi kudanganyika na hata kupuuza rangi zao za asili, kitu ambacho kimefanya wengi ku bleach ngozi zao na kuishia kuziaribu kabisa
Embu tazama thamani na uzuri uliyositirika ndani ya ngozi nyeusi, ona jinsi ukikubali maisha matamu unavyovutia, ona ngozi nyeusi inavyoeleza uzuri wake, ona inavyopendeza kwenye fashion yaani simply amizing.
Ona jinsi rangi nyeusi inavyovyutia na kuheshimika kwa kuitazama tu
Kina dada muache kuji bleach and let nature take its course, unakuta mdada anaumbo zuri msomi lakini keshajiparua ngozi tena daah acheni bhana mbna mko poa na rangi zenu za asili tu.
Embu tazama thamani na uzuri uliyositirika ndani ya ngozi nyeusi, ona jinsi ukikubali maisha matamu unavyovutia, ona ngozi nyeusi inavyoeleza uzuri wake, ona inavyopendeza kwenye fashion yaani simply amizing.
Ona jinsi rangi nyeusi inavyovyutia na kuheshimika kwa kuitazama tu
Kina dada muache kuji bleach and let nature take its course, unakuta mdada anaumbo zuri msomi lakini keshajiparua ngozi tena daah acheni bhana mbna mko poa na rangi zenu za asili tu.