Aisee BLACK IS BEAUTY asikudanganye mtu

hizi rangi za kuongezea km huyu wa mwisho mmmh
 
hahahahaaa unamkomoa aiseeeee........asirudie tena siku nyingine.......ila sasa hivi tumia asali usitumie povu.


!
!
asalii? huu utaalamu mpya kabisa kwangu. Kwa hili mimi ni wa mkoani aisee. Mh hii inafanyikaje fanyikaje?
 
!
!
Ntajaribu ila sasa daaah Asali naingia nayo vipi bafuni? wife namwambiaje kwa mfano
Tafuta kikopo.....weka asali changanya na ndimu kabisa afu unaingia nacho bila wife kujua......

We mwanaume bwana hauwezi kukosa mbinu ya kuingia nayo bila wife kujua.

Afu akikukuta nayo si unamwambia leo natumia asali kwenye kuoga......hawezi shangaa na wala kukufikilia vibaya.....mana hili tunalijua wachache.
 


!
!
Nitajaribu halafu ntaleta mrejesho
 
[emoji24][emoji24][emoji24]Mwenye ako na cream za weusi aniuzie jamani...i wish i was black dah...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…