Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. Njomba nchumali hapo kinamuuma sana, kila angle anapigwa gape na mwamba yani, alichemka kwa Paula, akahamia kwa mama, ili ampasie Ibrah, ngoma imekataa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.. anaishi kuhaha kama anakaribia kujifungua yaani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Na limwili lake lile kama putoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ€­
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. Njomba nchumali hapo kinamuuma sana, kila angle anapigwa gape na mwamba yani, alichemka kwa Paula, akahamia kwa mama, ili ampasie Ibrah, ngoma imekataa [emoji3][emoji3][emoji3].. anaishi kuhaha kama anakaribia kujifungua yaani [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie fans wa WCB mna nini lakini khaaaaaah.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] msinihukumu mimi sina makosa[emoji38][emoji38][emoji38] na yeye anatumia utot ambao amevishwa na watu ili asamehewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwambieni kaliwa bc kaliwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah, ila kwa maelezo haya, vanny boy yupo hatarini, maana muhusika anamtema na kumuangushia mzigo wa case lol. Patamu hapo.
 
Wanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.

Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.

WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.

Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
 
Wanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.

Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.

WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.

Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
Udhalilishaji upi, jibu swali hili kama mtu anayemiliki ubongo.
 
Wanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.

Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.

WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.

Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
Boss Mendez amepost wimbo wa Rayvanny akimsifia Paula , na akasema tutaje mstar tunaoukubali mana Ngoma ipo namba one trending , si tukapaza Kwa sauti "tukatoe mahali Kwa mzee masanjaaaaaaaaa" alaf na wewe unaleta ngojera zako , ndo matatizo ya kuwasha data mara moja Kwa wikiπŸ˜€πŸ˜€ hay mambo tumeyaongea Sana humu
 
Boss Mendez amepost wimbo wa Rayvanny akimsifia Paula , na akasema tutaje mstar tunaoukubali mana Ngoma ipo namba one trending , si tukapaza Kwa sauti "tukatoe mahali Kwa mzee masanjaaaaaaaaa" alaf na wewe unaleta ngojera zako , ndo matatizo ya kuwasha data mara moja Kwa wikiπŸ˜€πŸ˜€ hay mambo tumeyaongea Sana humu

10-4.
Sawa ushahidi huo, wamekubali kumdhalilisha Paula ili kuuza wimbo. Asante kwa ushahidi.
 
Kuposti picha za kufuska mtandaoni.

WCB inalea udhalilishaji na ufuska wa Rayvanny?
Vipi hii sio uzalilishaji?
IMG-20210215-WA0001.jpg
 
We utakuwa na Korona πŸ˜€πŸ˜€ wahi mhimbili upate oxygen

WCB wadhalilishaji wanawake, wako radhi kuwatega wasichana na kurusha picha za ngono ili kutrend mtandaoni. Sheria ichukue mkondo wake iwe funzo wa wanaume na wasanii wote wanaotumia ufuska kutrend.

Wanawake na wanaume wema jiungeni kupinga haya, kukomesha udhalilishaji kwa makongamano na maandamano. Pia proceedings za huo wimbo zote ziende kwa victim aliyetumika.

WCB wafuska na wadhalilishaji.
 
10-4.
Sawa ushahidi huo, wamekubali kumdhalilisha Paula ili kuuza wimbo. Asante kwa ushahidi.
Tz kwaakili hizi sasa naanza kuelewa kwanini watu kama Hitler walikuwepo mtu anaandika kama katolewa ubongo enzi za Hitler huyu unapiga shaba.
 

Naona bado ngoma ina endelea,Konde yupo sambamba na Kajala.

Alafu kwenye hili swala naona kama Majani kajiweka pembeni,jana hakuenda kituo cha polisi leo napo hajaenda,kweli kamchoka mwanae.
 
Back
Top Bottom