Na limwili lake lile kama putoππππ€πππππ.. Njomba nchumali hapo kinamuuma sana, kila angle anapigwa gape na mwamba yani, alichemka kwa Paula, akahamia kwa mama, ili ampasie Ibrah, ngoma imekataa πππ.. anaishi kuhaha kama anakaribia kujifungua yaani πππ
Ukilitia ki sindano kidogo, tayari pwaaaa... hasara sana majitu kama yale.. huko halilali lina muwaza Rayvanny tu kmmmk zake πππNa limwili lake lile kama putoππππ€
Kila mtu ashinde mechi zakeπ€£π€£Ukilitia ki sindano kidogo, tayari pwaaaa... hasara sana majitu kama yale.. huko halilali lina muwaza Rayvanny tu kmmmk zake πππ
Samahani P sikujua kama una akaunti JF, samahani sana mkuuKuwa na adabu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi mnayo WCB muhusika anawatema hivyo, heheheh patamu hapo.Kmmmk zake, asihamishe magori.. huyo hawezi kuwa Paula, huyo ni Njomba nchumari na roho yake mbaya kama kitukuu cha shetani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie fans wa WCB mna nini lakini khaaaaaah.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].. Njomba nchumali hapo kinamuuma sana, kila angle anapigwa gape na mwamba yani, alichemka kwa Paula, akahamia kwa mama, ili ampasie Ibrah, ngoma imekataa [emoji3][emoji3][emoji3].. anaishi kuhaha kama anakaribia kujifungua yaani [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaaah, ila kwa maelezo haya, vanny boy yupo hatarini, maana muhusika anamtema na kumuangushia mzigo wa case lol. Patamu hapo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] msinihukumu mimi sina makosa[emoji38][emoji38][emoji38] na yeye anatumia utot ambao amevishwa na watu ili asamehewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwambieni kaliwa bc kaliwa.
Udhalilishaji upi, jibu swali hili kama mtu anayemiliki ubongo.Wanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.
Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.
WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.
Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
Udhalilishaji upi, jibu swali hili kama mtu anayemiliki ubongo.
Boss Mendez amepost wimbo wa Rayvanny akimsifia Paula , na akasema tutaje mstar tunaoukubali mana Ngoma ipo namba one trending , si tukapaza Kwa sauti "tukatoe mahali Kwa mzee masanjaaaaaaaaa" alaf na wewe unaleta ngojera zako , ndo matatizo ya kuwasha data mara moja Kwa wikiππ hay mambo tumeyaongea Sana humuWanazengo wamepiga kambi mtandaoni kumtetea Rayvanny.
Rayvanny kamdhalilisha Paula mtandaoni.
WCB hawanabudi kujitenge na Rayvanny, imkane ili kusave brand yao isizame kwa kashfa ya ufuska na udhalilishaji.
Kitendo cha WCB kunyamazia hii issue inaonyesha wanakubaliana na Rayvanny na udhalilishaji alioufanya Rayvanny.
Boss Mendez amepost wimbo wa Rayvanny akimsifia Paula , na akasema tutaje mstar tunaoukubali mana Ngoma ipo namba one trending , si tukapaza Kwa sauti "tukatoe mahali Kwa mzee masanjaaaaaaaaa" alaf na wewe unaleta ngojera zako , ndo matatizo ya kuwasha data mara moja Kwa wikiππ hay mambo tumeyaongea Sana humu
We utakuwa na Korona ππ wahi mhimbili upate oxygen10-4.
Sawa ushahidi huo, wamekubali kumdhalilisha Paula ili kuuza wimbo. Asante kwa ushahidi.
Vipi hii sio uzalilishaji?Kuposti picha za kufuska mtandaoni.
WCB inalea udhalilishaji na ufuska wa Rayvanny?
Kumbusu mtu ufuskaKuposti picha za kufuska mtandaoni.
WCB inalea udhalilishaji na ufuska wa Rayvanny?
We utakuwa na Korona ππ wahi mhimbili upate oxygen
Vipi hii sio uzalilishaji?View attachment 1704170
Tz kwaakili hizi sasa naanza kuelewa kwanini watu kama Hitler walikuwepo mtu anaandika kama katolewa ubongo enzi za Hitler huyu unapiga shaba.10-4.
Sawa ushahidi huo, wamekubali kumdhalilisha Paula ili kuuza wimbo. Asante kwa ushahidi.
Kumbusu mtu ufuska