britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Huyu John wetuMaisha ni mabaya kwa sababu ya John!
Hehehe😀😀😀😀😀😀😀😀 hali iwe ngumu hivi hivi hadi 2050 mpaka muiheshimu shilingi ya tanzania ...... yaani sasa hivi sisikii ikiitwa madafu tena
Week nzima watu wanatumia elfu 20Laki hela ww...wiki nzima natumia kwny bajeti yangu
Week nzima watu wanatumia elfu 20
Ila laki ni pesa hahahaNdio maana tunatofautiana watu wanatumia laki kwa siku
Nikiona hili nakumbuka interview ya chid benz ile ya "madini ya muunganiko wa kuunga unga, kisha waungaji nao walivyounga unga yakatokoea maunga unga ambayo madini yake yame ungwa ungwa, gharama yake ni rahisi sana kwa sababu ni washkaji maskani walijaribu kukaa wakaunga unga ki idea za hapa na pale ambazo hazina gharama yeyote" ha ha ha ha ha ha!Karibuni ugari kabichi wakuu bajeti yangu mpaka msosi umeiva ni buku 2 tu
Unga nusu -500
Kabichi -300
Nyanya 2-200
Mafuta ya kula -200
Kitunguu cha -100
Mkaa wa -500
Na maji ya-200(Kandoro)
Karibuni sana wakuuu.
Chid tyr tumemkosaNikiona hili nakumbuka interview ya chid benz ile ya "madini ya muunganiko wa kuunga unga, kisha waungaji nao walivyounga unga yakatokoea maunga unga ambayo madini yake yame ungwa ungwa, gharama yake ni rahisi sana kwa sababu ni washkaji maskani walijaribu kukaa wakaunga unga ki idea za hapa na pale ambazo hazina gharama yeyote" ha ha ha ha ha ha!
Ngada sio mchezo, CHID nikikumbuka na ubabe wake wote ule sahivi kakata ringi hata mimi naeza mkazia nikamtia nakoz za kutosha akizengua bangi na hantishi kwa lolote,Chid tyr tumemkosa