Aisee kumbe Wema mpaka kiarabu ana kicharaza bila shida

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Beautiful onyinye wema sepetu sepetunga ameonesha umahiri wa hali ya juu wa kucharaza kiarabu licha ya kuwa hajioneshi kuwa anafahamu lugha hiyo


Kupitia ukurasa wake wa instagram mrembo Wema Sepetu aliandika maneno yanayoashiria kumkumbuka baba yake kipenzi mzee Isack Sepetu kwa kutumia lugha ya kiarabu








 
Lugha zote ni sawa, sio kwamba eti mtu akijua lugha fulani basi yupo juu zaidi ya wengine
 
Huyu Jamaa hapo ndiye babake?
 
Sio lazima akawa ameandka yeye Labda Kuna mtu anajua ndo kamsaidia ku andika
 

Sasa kama ili afanikiwe " kumchuna " Mwarabu " koko " inamlazimu aweze kuongea nae kwa Kiarabu unadhani ataacha kujifunza Mkuu?
 
Ni lugha kama lugha zingine, ningemsifu sana kama angetumia lugha ya kabila lake. Tupende vya kwetuuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…