aaawee.hakuna kitu kamahicho.Sio niko busy nabadili style unaanza habari ya mwanao kurudishwa ada nkukopeshee
Akaaa
Apart from kuwa HOHEHAHE sina na jinsia pia... nikogo kama bakteria au kirusi.Sa mkuu ushakuwa hohehahe utamla nani hela hakuna??
We baki tu kanisani utuombee toba
.....tatizo wengi wetu huwa tunakuja kugundua hilo ikiwa tayari ni too late....unakuta mtu aliinvest each and everything....tutawin kama tutakuwa tayari kuijifunza kutoka kwa watu waliopitia visa na Mikasa....Nakubali chief. Kuna muda wanaume tutaelewa kuwa hizi Mambo za kugegedana Zina tufelisha na kutupotezea muda Sana.
👉Upotevu wa muda
👉 Upotevu wa pesa na nguvu
👉Kubeba nuksi na mikosii
CONTROLA
Ila kumbuka mwanamke wako nae ni bit..ch kwa mwamba flani mahaliApart from kuwa HOHEHAHE sina na jinsia pia... nikogo kama bakteria au kirusi.
Alafu kabla sijakulana naangaliaga chance na possibility na rate ya kupatwa na U.T.I na magonjwa mengine ya zinaa. Sikulani hovyo na randomly bitches 😊👍🏾
ID's zisikudanganye
Haya tuma salamu kwa watu 7Ila kumbuka mwanamke wako nae ni bit..ch kwa mwamba flani mahali
Ila sijapenda hili jibu Naka... nitue na unikome tafadhali...nimeoa mimi, kwahiyo wife ndo vile sometimes...?!Ila kumbuka mwanamke wako nae ni bit..ch kwa mwamba flani mahali
mkoani shule za kawaida tuu.Msingi pia kuna ada au wanasoma kayumba ?
Hahahaha Hadi umerudi kweli limekuumaIla sijapenda hili jibu Naka... nitue na unikome tafadhali...nimeoa mimi, kwahiyo wife ndo vile sometimes...?!
dahh! 😭
inabidi uniambie ulipo nikuletee😅siwezi kukudaiHahahahaha
Kbababke
Shauri yako
Ntumie basi St Anne 2 fasta nimwagilie mtima
(Na sio unidai)
ok.penya penya uje nikupe😅😅Nanunua mwenyewe huku pia kuna madukaa
ngoja nikuoneshe😅Napenyaje sasa
Anajiamini sana huyo mwamba... 😂🙌🏾Hahahaha Hadi umerudi kweli limekuuma
Hata mimi ni malaika kwa baadhi ya watu japo unaniona biyaach
Pigia mstari kuna mwamba mahali anajaribia mastaili yake yote kwa mkeo ila hutakaa ujue