Aisee kuna wanaume wavivu

Pole kwa yaliyokukuta
 
Eeeh Jamani 🀣
 
Tulishakubaliana kuwa hatuwezi kushindana na Tulipotoka dawa ni kuridhika sisi halafu tunapita mbele..... Wewe Kama badooo baki na hamu zako
 
Hili wigi ulilovaa kwenye avatar huenda ndo linamkata stimu maana kuna wakati yanatoa harufu kali ukichamganya na harufu ya kemikali ndo balaa lazima mzigo ulale chali.
😁😁😁
 
Hao unaongelea wanaume wa wapi?Mimi ninavyo jua wanawake ndiyo wachovu siku hizi hawawezi kuvumilia mziki wa angalau masaa matatu mfululizo kwa uchache.
 
Nikazi kubwa sana msichukulie poa.

Huwezi simamia ukucha 40mins, wakati unawaza kulipa kodi...Ukimkumbuka baba mwenye nyumba inanywea yenyewe[emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lengo lako tukufikoshe kileleni sio. Nenda mwenyw kama ni vizur.

Kila kitu mnatutegemea sie kama tumeshindwa haya nenda huko pekeayako [emoji44][emoji44][emoji1540]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…