Unafikiri wote wanasafiri kwa punda kaa wewe?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Leo Nlkw Maskani Na Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
inawezekana sana moja anaweza kasoma online na kingine full time
its possible
Leo Nlkw Maskani Na Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkulu sijakusoma. Najua distance iliyopo kwa hizo sehemu mbili ndo maana nmestaajabu. Nairobi na Nakuru ni kama Dar na Korogwe kaka
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Papers mbona mtu unatumiwa on line? kweli ni kujipanga CielloIts possible ni kujipanga 2!
Zubaa uchekwe. Mimi nasoma UNISA na Bado ALISON, hapo hapo part time nyingine kibao achilia mbali kazi na kusafiri......!! bado napata muda wa ku-refresh humu JF, na katika mitandao mingine kibao.
Leo Nlkw Maskani Na Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Papers mbona mtu unatumiwa on line? kweli ni kujipanga Ciello
Leo Nlkw Maskani Na Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kweli Ciello, anahitaji kuelimishwa. Si kila mahali degree ni miaka 4, Executive Bachelors ni 1 yr, Executive MBA ni 1yr tena katika vyuo vinavyotambuliwa na serikali.Jamaa kakariri....
Si ndo hapo sasa, jamaa si kosa lake anadhan kila siku jpil, watu wanasoma online...
inawezekana sana moja anaweza kasoma online na kingine full time
its possible
Mlivyomshambulia, hata jf anaweza kuichukia.....kumbe.....