Aisee.. Leo Nimeona Maajabu ktk CV ya Mtu!

Aisee.. Leo Nimeona Maajabu ktk CV ya Mtu!

pole mleta mada, JF hawaangalii usoni.!
 
Hahaha! Issue si kusoma online.. Jamaa kasoma full time kotekote. Issue ya online Mbona simple hata mm nasoma islamic univesity online na nko area daily. Nlichostaajabu ni hizo costs alizoingia jamaa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mlivyomshambulia, hata jf anaweza kuichukia.....kumbe.....

Mkuu siwezi ichukia jf kwa hili. Nipo n ntazidi kuwepo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Unauliza mawe mlimani.?? Inawezekana sana tu.
 
Unaanza kubadilisha maneno. Cost gani ameingia sasa? Si kawekeza kwenye elimu? Ungetaka kujua muulize how did he manage?
Hahaha! Issue si kusoma online.. Jamaa kasoma full time kotekote. Issue ya online Mbona simple hata mm nasoma islamic univesity online na nko area daily. Nlichostaajabu ni hizo costs alizoingia jamaa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Leo Nlkw Maskani Na
Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV
yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh
nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma
Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science
n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko
Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas
je?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Haishangazi kuona kuwa umekuiwa mtu wa kijiweni
 
Ha ha ha ha kweli wewe unamambo kweli uko kijiweni halafu jamaa analeta cv yenye urembo wa vyuo vikuu ajabu ya musa hii
 
Uwezowako mdogo, nadhani itakuwa level ya elimu yako ndo tatizo, Anaweza kusoma UDSM, Mzumbe na IFM kwa wakati mmoja, either way both online, au mbili online.
So sio big issue mkuu.
 
Kwani neno kijiweni mnalidefine. Au mnadhani kijiwe cha wavuta bangi. La hasha wakuu! Ni sehemu ambayo mara nyingi tunakutana na washkaji baada ya mizunguko ya hapa n pale kubadilishana mawazo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uwezowako mdogo, nadhani itakuwa level ya elimu yako ndo tatizo, Anaweza kusoma UDSM, Mzumbe na IFM kwa wakati mmoja, either way both online, au mbili online.
So sio big issue mkuu.

Dah! Aisee. Mkuu tumia lugha nzuri

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ciello na Thanda elimu ambayo haiwezi kuintergrate mambo nakufikiri outside the box ni hatari sana na hii imetawala sana hapa kwetu wengi wetu tumekariri tu mambo lile walilokuwa wanafanya waliopita wewe nawewe hili hilo huwezi kubuni outside,na hii inajidhihirisha ufikapo pale JKN airport kuna mabango ya simu tu ,hamna picha ya mount kilimanjaro wala picha za wanyama kuonyesha utalii uliopo tz,ila kenya unapokelewa na hizi picha ,nafikiri umeona tofautu.we shuld thing outside the box and intergrate our mind tha hivi vitu vinawezekana b4 u post it here
 
Last edited by a moderator:
Ameyataka,angemuuliza huyo mwenye cv angepewa jibu na wala asingeileta huku. Ila ukupigao ndio ukufunzao.

Ye aliona ni big deal,akaona akimbilie JF kuanzisha thread lolest!
 
ciello na thanda elimu ambayo haiwezi kuintergrate mambo nakufikiri outside the box ni hatari sana na hii imetawala sana hapa kwetu wengi wetu tumekariri tu mambo lile walilokuwa wanafanya waliopita wewe nawewe hili hilo huwezi kubuni outside,na hii inajidhihirisha ufikapo pale jkn airport kuna mabango ya simu tu ,hamna picha ya mount kilimanjaro wala picha za wanyama kuonyesha utalii uliopo tz,ila kenya unapokelewa na hizi picha ,nafikiri umeona tofautu.we shuld thing outside the box and intergrate our mind tha hivi vitu vinawezekana b4 u post it here


sure kabisa
mia mia..
 
leo nlkw maskani na washkaji zangu kuna jamaa m1 anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie cv yake.. Jst in case of anythn niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma kenyatta university n egerton university course tofauti. Moja ya science n nyingine ya human resourse. Swali nililonalo kichwani egerton iko nakuru wakati kenyatta iko nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?

Sent from my blackberry 9300 using jamiiforums


pia usipendelee sana kukaa maskani kwa mda mrefu
sio pazuri sana mkuu..
 
Mpwa inawezekana sana, wenzetu wana kozi za online ambazo ziko more advanced na huwa wanakutana at least once or twice per semester (inategemea setting), hata hapa bongo inawezekana mbona?

Mimi ni mwajiriwa, nasoma PGDL na nasoma Coiurse ya Child Protection Policy, sasa siku nikuletea ka CV kangu utaanza kuniuliza, nimefanyaje PGDL, CPP na huku nafanya kazi? Nadhani the best thing nikupima uwezo wake na sio kumhukumu kuwa aliwezaje, haya mambo yanawezekana, wengine kutwa kucha tunashinda JF na mambo yanaenda, tuache au tupunguze kwenda Bar na Guest ndio tunakopoteza muda
 
Back
Top Bottom