Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Siku hizi kuna joint programes kati ya vyuo..na unapata vyeti vya koteLeo Nlkw Maskani Na Washkaji Zangu Kuna Jamaa M1 Anatafuta kazi basi mkamwambia aniachie CV yake.. Jst In case of anythn Niiwasilishe. Akanipa. Kuicheki Duh nilistaajabu. Jamaa kasoma vyuo viwili tofauti kwa muda m1. Kasoma Kenyatta University n Egerton University course tofauti. Moja ya science n nyingine ya Human Resourse. Swali nililonalo kichwani Egerton iko Nakuru wakati Kenyatta iko Nairobi. Alikuwa anaattend vp classes?? Pepas je?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nimekuelewa MkuuSasa si ataangalizia!!
yote hii ya nini? ili uje kupata kazi nzuri ama? good grades? no security of employment...enh?Zubaa uchekwe. Mimi nasoma UNISA na Bado ALISON, hapo hapo part time nyingine kibao achilia mbali kazi na kusafiri......!! bado napata muda wa ku-refresh humu JF, na katika mitandao mingine kibao.
Kusoma ni sehemu ya maisha yangu ndugu, nina ajira nzuri sana wala haina mizengwe, pia mimi ni mjasiriamali mwenye ofisi zaid ya tisa, Tano zina bima nne hazina na nyingine mbili ndo nimezianzisha. kusoma ni "kujiongeza"tu.yote hii ya nini? ili uje kupata kazi nzuri ama? good grades? no security of employment...enh?
ni wale wale tu employee...earned income?huh sitting in a confined office, waking up early in the mornin to work..thats a perfect life..bro..i guessKusoma ni sehemu ya maisha yangu ndugu, nina ajira nzuri sana wala haina mizengwe, pia mimi ni mjasiriamali mwenye ofisi zaid ya tisa, Tano zina bima nne hazina na nyingine mbili ndo nimezianzisha. kusoma ni "kujiongeza"tu.
ni wale wale tu employee...earned income?huh sitting in a confined office, waking up early in the mornin to work..thats a perfect life..bro..i guess
Tehetehethe............. Mi ngoja nilale maana sitaweza chekaYe aliona ni big deal,akaona akimbilie JF kuanzisha thread lolest!
kama elimu ni gharama jaribu ujinga na umbumbumbu!!!!!Hahaha! Issue si kusoma online.. Jamaa kasoma full time kotekote. Issue ya online Mbona simple hata mm nasoma islamic univesity online na nko area daily. Nlichostaajabu ni hizo costs alizoingia jamaa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums