Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

Unataka kutuambia kua Angela Kairuki nae ka Share news na mange? Maana si kwa mapazia Yale anayovaa
Sio kila habari anayosema Mange ni ukweli.Mange alisema Ivan anatembea na Wema na kamfungulia biashara ya lipstic...alisema Ivan hajafa!Alisema lyn ana mimba ya diamond!Alisema nillan sio wa diamond...alisema Zari na Diamond wamepigana chupa.
Mengine changamsha genge
 
Mbona mambo ya kawaida sana, akisimuliwa atafanyaje kwani?
 
Domo mwenyewe kasha clear kuwa bado hajaoa sasa ww na domo tumuamin nani.....
Mbona hamueleweki, mwanzo mlisena mama d na familia ya d inamtaka mobeto, now mnaweweseka kuwa mama anampiga vijembe amechagua upande.
Yani habari zenu zinabadirika kama utabiri wa hali ya hewa.
 
Tunalijua hilo lakini jibu swali langu usiende nje yanilichokuuliza
 
Unataka kutuambia kua Angela Kairuki nae ka Share news na mange? Maana si kwa mapazia Yale anayovaa
Kwani kuna ajabu yeye kuwa na mimba?
Kwanza si ana mume yule, na unaweza ku prove kuwa kama ana mimba siyo ya mumewe.
Inawezekana mange aliyoyasema ni kweli ama ni uongo pia maana kuna mengi anasema mwisho yanakuwa siyo kweli hivyo siyo kila anachosema ni cha kubebaba kama kilivyo hasa vile visivyo na ushahidi bali wa kuunga unga.
Mengine anayotuwekea ushahidi kabisa wa picha sms mpaka voice note wakati mwingine had documents namuunga mkono 100%.
 
Kwl
 
Kulijaa mnoo akakosa cha kuongea ikabidi aandike kuhusu pochi, eti ye habebi pochi fake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…