Aisee mama diamond apunguze vijembe kwa hamisa hakuna aijuaye kesho.

Hamisa kazaa na diamond, na huyu mama alionyesha kumsapoti hamisa, hapa juzi kati zilivuja picha za hamisa na petit enzi za mahusiano yao, petit ni mume wa mwanae wa kike, aisee kyuma ya hamisa sio ya nchi hii ina utamu wa aina yake hata km hajatumia akili kula hela za diamond lakini muda utaongea, akumbuke mapito yake huyu mama coz kilichotokea kwake ndo kinatokea na kwa hamisa
 
Yani utasema hamisa kadate na baba na mwana.... khaaa sio kwa mijembe ile.. kama mke mwenzie
au alidate na mzee abdul[emoji23][emoji23]

maana mama halali,hanyi kutwa madongo kama ndo kwa tabia hio ni yeye, basi ndio maana mzee abdul alimwacha
Mi kwa akili yangu fupi nahisi kuna namna sio bure tunajikuta tunacheza mziki wa madale

Bi Sandra,diamond na hamisa they know exactly what's going on with this drama

Huyu mama wala hampendi zari anampaka mafuta tuu kwa mgongo wa chupa
Twendeni tu tutajua tu
 
Hiyo kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ndo nachokiona, ila pic za hamisa na petit zilimkera mama almasi
 
We naona hujamuelewa jamaa hata kama wana ugomvi tayari Ana mjukuu kwa hamisa halafu anavyoandika mtandaoni ili iweje? Ok watu wakishaona anafaidika nini? Yeye ni mama mitandao inamsaidia nini hasa kwa kuandika pumba au vijembe?
 
Wamama wa tandale utawaweza
 
Kama zipi izo.?
Kuna sehemu za kuweka mkato,sehemu zingine nukta, viulizo. Umeunga sana mzee kiasi kwamba mtu anaweza kutumia muda kidogo kujua kwamba sentensi Fulani imeishia mahali fulani na nyingine inaanzia mahali fulani
 
Zari yupo juu kila mtu anajipendekeza kwake.

Tangu zari atue bongo media zote ni zari zari,haters na mashosti wanamtaja zari mara mia.

Ikikuuma chomoaaa
 
Zari yupo juu kila mtu anajipendekeza kwake.

Tangu zari atue bongo media zote ni zari zari,haters na mashosti wanamtaja zari mara mia.

Ikikuuma chomoaaa

One of her true fans.

Hope you are enjoying, she is up as always.
 
Not only enjoying her success but also am learning a lot of tricks.

Bidada yupo vizuri,mama watano ila bado mbichiiii,drama nyingi anajihusisha yeye kama yeye bila kuweka watoto wake wala family members wake. Pamoja na kwamba haters wanajaribu kuwahusisha watoto yeye anawalambisha ndimu bila kuchanganya watoto wao
One of her true fans.

Hope you are enjoying, she is up as always.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…