Aisee Mkamateni TID fungeni kamba pelekeni Rehab...

Aisee Mkamateni TID fungeni kamba pelekeni Rehab...

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Ameshachanganyikiwa na hakuna analoelewa wala kukumbuka. Pombe na unga vimeshamuathiri ubongo. Msaidieni...
 
Jamaa alikuwa ibada na sanaa kama KIBA sijui nini kimemkumba kijana.
 
mi naamini unga ameacha kuna siku nilimuona Nairobi tukakaanaye watz mahali alikunywa bia tu ,na pombe kali ,ila kweli ni mtu wa kujidai sana ,na hakuwa broke alikuwa na hela pia ,tulizungusha round naye alizungusha ,ila yeye kawaida ni mlevi sana maisha yote jamaa sijawahi ona analala mapema ,utauliza nimejuaje? nliwahi kuishi opposite na kwao mbele kidogo karibu na stereo baa kwenye kona pale kuna kagrocery ndo wanapaita kwa wanyama wakali ,yaani kila nikipita jamaa kalewa kila siku usiku wanapiga makelele mziki mkubwa kwenye gari yake ,nachojua pale panauzwa unga na bangi ,huyu jamaa alikuwa anakopwa pombe za hadi 1,000,000 akienda show analipa ,anaanza upya ,yaani ni kijana wa kinondoni hasa
 
mi naamini unga ameacha kuna siku nilimuona Nairobi tukakaanaye watz mahali alikunywa bia tu ,na pombe kali ,ila kweli ni mtu wa kujidai sana ,na hakuwa broke alikuwa na hela pia ,tulizungusha round naye alizungusha ,ila yeye kawaida ni mlevi sana maisha yote jamaa sijawahi ona analala mapema ,utauliza nimejuaje? nliwahi kuishi opposite na kwao mbele kidogo karibu na stereo baa kwenye kona pale kuna kagrocery ndo wanapaita kwa wanyama wakali ,yaani kila nikipita jamaa kalewa kila siku usiku wanapiga makelele mziki mkubwa kwenye gari yake ,nachojua pale panauzwa unga na bangi ,huyu jamaa alikuwa anakopwa pombe za hadi 1,000,000 akienda show analipa ,anaanza upya ,yaani ni kijana wa kinondoni hasa
Unga ameacha
 
Back
Top Bottom