Aisee Mkamateni TID fungeni kamba pelekeni Rehab...

Aisee Mkamateni TID fungeni kamba pelekeni Rehab...

Fanyeni kunikumbusha wimbo wake ambao ulikonga nyoyo za wengi!!
 
mi naamini unga ameacha kuna siku nilimuona Nairobi tukakaanaye watz mahali alikunywa bia tu ,na pombe kali ,ila kweli ni mtu wa kujidai sana ,na hakuwa broke alikuwa na hela pia ,tulizungusha round naye alizungusha ,ila yeye kawaida ni mlevi sana maisha yote jamaa sijawahi ona analala mapema ,utauliza nimejuaje? nliwahi kuishi opposite na kwao mbele kidogo karibu na stereo baa kwenye kona pale kuna kagrocery ndo wanapaita kwa wanyama wakali ,yaani kila nikipita jamaa kalewa kila siku usiku wanapiga makelele mziki mkubwa kwenye gari yake ,nachojua pale panauzwa unga na bangi ,huyu jamaa alikuwa anakopwa pombe za hadi 1,000,000 akienda show analipa ,anaanza upya ,yaani ni kijana wa kinondoni hasa
Duh bar ya stereo siku ile inaungua Kabla nlikuwepo pale.....ila bora ile bar iliungua maana lile kundi la wanywaji makonki piere anasubiri si uliwaona ni 24/7 bwaxxxx
Stereo nmekaa sana Nlikuwa jirani na tarimba
Sema TID tatzo lke ana vimaneno machafu
Na sahv hayuko kama zamani basi ni anajishtukia

Ova
 
ila hii mijamaa iliyo mpa kipigo TID hii nina mashaka nayo hii inawezekana kabisa ni mizee ya ndonga, majambazi yakiwa nje ya matukio’ huwa ni wakalim sana
 
Duh bar ya stereo siku ile inaungua Kabla nlikuwepo pale.....ila bora ile bar iliungua maana lile kundi la wanywaji makonki piere anasubiri si uliwaona ni 24/7 bwaxxxx
Stereo nmekaa sana Nlikuwa jirani na tarimba
Sema TID tatzo lke ana vimaneno machafu
Na sahv hayuko kama zamani basi ni anajishtukia

Ova
Ile siku inaungua nlikuwa Atlanta bar ni kwamba kulikuwa na engagement ya mashoga ,wazee wa system naskia kuondoa aibu wakaipiga fire
 
Ile siku inaungua nlikuwa Atlanta bar ni kwamba kulikuwa na engagement ya mashoga ,wazee wa system naskia kuondoa aibu wakaipiga fire
Duh...atlanta umenikumbusha mbali
Kuna ile bar ilikuwa nyuma ya atlanta
Ila waliondolewa pale ilikuwa maarufu sna
Jina nimelisahau pembeni yke kulikuwepo na bar ya mama siriwa pia G7 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ahhhhh nmekumbuka huntersss babake nmeunguza sana hela paleee

Ova
 
Duh...atlanta umenikumbusha mbali
Kuna ile bar ilikuwa nyuma ya atlanta
Ila waliondolewa pale ilikuwa maarufu sna
Jina nimelisahau pembeni yke kulikuwepo na bar ya mama siriwa pia G7 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ahhhhh nmekumbuka huntersss babake nmeunguza sana hela paleee

Ova
Dar tumeenjoy bwana enzi za jk Leo hizo sehemu kimyaaaa
 
Dar tumeenjoy bwana enzi za jk Leo hizo sehemu kimyaaaa
Zimekufa wale waluguru wanao miliki eneo kuanzia TX market waliuza sjui waliingia ubia eneo la hunters inasemekana
Ila wajanja wote na watu wastarabu ilikuwa hunters
Sahv hakuna sehemu zaidi ya mikelele
Na watoto wadogo kujazana
Bora ujipigilie kwa mangi
Sehemu nyingi sahv risasi vidol tu

Ova
 
Back
Top Bottom