Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae

Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae

Mr mutuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2023
Posts
2,869
Reaction score
14,501
Kuna clip nimekutana nayo insta nikasahau kuipakua, ishu imetokea magomeni, jamaa amepanga frame ya biashara anapiga zake biashara mdogo mdogo kashakaa miezi mitatu

Siku jamaa kaingia dukani kwake usiku sijui walikua wangapi wapo na ma driller sijui jamaa katoboa ukuta katokea frame ya anayepakana nae kasafisha Kila kitu, kamaliza hapo katoboa tena kwingine Yani mpaka mwisho kawasafisha wote karudi kwenye frame yake kasepa, frame zilikua zimepangana maduka ya simu

Jamaa asubuhi wanalia tu na kutukana wanaulizana nani anamjua, wote wanasema walikua wanamuona tu dukani, imagine aisee una familia ndo biashara unayotegemea afu kenge mmoja siku anakumaliza Kila kitu

Nimewaza sana duka la simu ukiibiwa smart phone kama 100 aisee acha tu, ukute mtu uliweka na simu za Bei ghali.... Dah jamaa mmoja alikua analia kabisa

Wezi sio watu.... Na natoa hii kama tahadhari hakikisha mtu mliyepanga nae jirani unajua hata abc zake maana naona huu mfumo watu watapigwa sana
 
Nilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo

Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
 
Nilishawahi kumkimbiza mwizi usiku kimya kimya mtu mbili tu nia yangu ilikua nimuue bila mashahidi alichonikera ni kupiga kelele za kuomba msaada hadi watu wakaamka nimemkamata tu watu wakajaa na mwenyekiti akiwepo

Ikabidi nimkabidhi kwa serekali ila nilimwambia mwizi umeniangusha sana kuna kitu nilitaka nikufanyie iwe siri yetu
Mmmmh wee ndo unge uawa lol.
 
Siku moja natoka zangu bondeni naelekea home mida kama saa tano hivi familia ilikua imesafiri basi sikua na haraka za home...
wakati napita msikiti wa ferry naelekea njia ya mji mwema nikaskia kwa mbele mwiziiiiiiiii mwiziiiiiii kuna hostel ya wanafunzi pembeni mwa petrol station iliyoko pembeni mwa bahari asee jamaa hakuvuka barabara kashadakwa nikaanza kusoma mchezo dakika chache tu boda wa kijiwe lami wakaingia na pikipiki zao.

jamaa alipigwa wakaanza kumpanda na pikipiki japo hainihusu na sijaibiwa mimi ila nilitafuta nafasi jamaa kashavuliwa nguo kachakazwa nikatekenya mbavu mara mbili nikafuta kisu changu nikarudisha kiunoni.
Yule mwizi aliiba wakastukia akamkata dogo mmoja na kisu mkononi kwahyo sumu ikawajaa wanachuo.

Kesho yake naambiwa jamaa alipelekwa kwenye mbuyu kashakufa lolisi wakaja saa kumi usiku wakachukua maiti yao ila ilikua haifai maana mwili umekatika katika kwa tairi za pikipiki..


Sipendi kuhurumia mwizi maana anakuua anaondoka na mali yako
 
Back
Top Bottom