Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae

[emoji23][emoji23][emoji23] khaa we jamaa ni mtu na nusu
 
Angeweza kukugeuka akakugeuzia kibao.
 
Angeweza kukugeuka akakugeuzia kibao.
Alikua mtaani kwangu hana ujanja kila mtu ananifaham kwanzia nazaliwa na tabia yangu wanaifaham yeye ndo alikua kwenye mstari wa kifo
 
Alikua mtaani kwangu hana ujanja kila mtu ananifaham kwanzia nazaliwa na tabia yangu wanaifaham yeye ndo alikua kwenye mstari wa kifo
Oooh kumbe hivyo ,kinyume na hivyo ni hatari sna.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Iliwahi nitokea mnazi mmoja Dar,natembea zangu taratibu nikasikia kelele za mwizi,kugeuka nyuma mwizi anafukuzwa anakuja upande wangu,nikanyanyua mguu nikamkanyaga kifuani akaanguka,jamaa kufika pale alipigwa ngumu kama 10 za kutosha,nikaona sikio moja linatoka damu,nikaamua kuondoka haraka,sijui kama yule jamaa alipona pale,maana umati wa watu ulikuwa unaongezeka na wengine walishaanza kuvunja matofali ya kumpigia.Wizi sio mzuri kabisa,ila inachosikitisha kuna mijitu inaiba mabilion lakini hata haiguswi,utadhani hawa wana jina tofauti na hao wezi wa kuku...
 

Hao ni matapeli, kuna tofauti ya wizi na utapeli, binafsi mwizi namuua hata akinirudishia mali yangu ila tapeli napiga nae story kabisa maana anakua kanizidi akili tuu, mtu anakupiga maneno unaenda mwenyewe bank unadrow pesa unampa kwa mikono yako, ni tofaut na anayekuja na bunduki au panga then anakunyanganya mali zako kwa nguvu na maumivu juu anakuachia.
 
NAKAZIA

Kwa mfano unakuta mwizi kakuibia smartphone au flat screen unalazimika kutoa hela nyingine kununua kile alichokuibia wakati haikuwa kwenye bajeti yako ni kurudishana nyuma

Aisee mkiona watu wanaua wezi msishangae​

Mimi nilikuwa nawaonea huruma nikikutwa wanapigwa ila baada ya kunipiga tukio huruma imenipotea.

Mbaya zaidi hawana huruma akikuwahi ni aidha akujeruhi au akuue.
 
Tapeli kakuzidi akili pia anakutukanisha kuwa wewe ni kiazi kilaza, mwizi amekuzidi nguvu. Hapo wote wametenda kosa moja na impact ni moja kuwa wanarudisha nyuma maendeleo dawa yao ni kifinyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…