Aisee mpira umebadilika kweli leo hii Rodri anachukua Ballon d'or huku kuna viungo punda zaidi yake hawakuwahi kuikaribia tuzo hiyo!

Aisee mpira umebadilika kweli leo hii Rodri anachukua Ballon d'or huku kuna viungo punda zaidi yake hawakuwahi kuikaribia tuzo hiyo!

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira.
Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or.

Pale France kulikuwa na wachezaji wa moto kama Claude Makelele, Patrick Viera, Thierry Henry, Robert Pires, Anelka, Frank Ribery, Paul Pogba.

Pale Agentina kulikuwa na miamba hii na haikuchukua Ballon dor ila walikuwa wanakiwasha balaa: Juan Veron, Gabriel Batstuta, Javier Masherano, Requlime, Sergio Aguero, Tevez, Angel Di maria.

Pale Spain kulikuwa na akina: Andres Iniesta, Xavi Alonso, Xavi Hernandez, Sergi Bosquet, David Silva, Ses Fabrigas

Pale Italy wanyama waliokuwepo ni pamoja na Andrea Pirlo, Genaro Gattuso, Del Piero, Inzaghi Philipo.

Wanyama wa England: David Beckham, Frank Lampard, Stiven Gerard, Michael Carrick.

Pale Portugal alikuwepo: Ricardo Qwaresma, Luis Figo, Deco.

Kule uholanzi alikuwepo mwamba kama : Clerence Seerdorf, Ruben.

Kwa hiyo Rodri ashukuru Mungu sana kupata tuzo hiyo kwa sababu hata kimpira mwaka uliopita hakufika viwango vya Mbappe, Vini jr, Lamine Yamal, Benardo Silva.
 
Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira.
Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or.

Pale France kulikuwa na wachezaji wa moto kama Claude Makelele, Patrick Viera, Thierry Henry, Robert Pires, Anelka, Frank Ribery, Paul Pogba.

Pale Agentina kulikuwa na miamba hii na haikuchukua Ballon dor ila walikuwa wanakiwasha balaa: Juan Veron, Gabriel Batstuta, Javier Masherano, Requlime, Sergio Aguero, Tevez, Angel Di maria.

Pale Spain kulikuwa na akina: Andres Iniesta, Xavi Alonso, Xavi Hernandez, Sergi Bosquet, David Silva, Ses Fabrigas

Pale Italy wanyama waliokuwepo ni pamoja na Andrea Pirlo, Genaro Gattuso, Del Piero, Inzaghi Philipo.

Wanyama wa England: David Beckham, Frank Lampard, Stiven Gerard, Michael Carrick.

Pale Portugal alikuwepo: Ricardo Qwaresma, Luis Figo, Deco.

Kule uholanzi alikuwepo mwamba kama : Clerence Seerdorf, Ruben.

Kwa hiyo Rodri ashukuru Mungu sana kupata tuzo hiyo kwa sababu hata kimpira mwaka uliopita hakufika viwango vya Mbappe, Vini jr, Lamine Yamal, Benardo Silva.
Work smart not hard the guy he is smart
 
Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira.
Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or.

Pale France kulikuwa na wachezaji wa moto kama Claude Makelele, Patrick Viera, Thierry Henry, Robert Pires, Anelka, Frank Ribery, Paul Pogba.

Pale Agentina kulikuwa na miamba hii na haikuchukua Ballon dor ila walikuwa wanakiwasha balaa: Juan Veron, Gabriel Batstuta, Javier Masherano, Requlime, Sergio Aguero, Tevez, Angel Di maria.

Pale Spain kulikuwa na akina: Andres Iniesta, Xavi Alonso, Xavi Hernandez, Sergi Bosquet, David Silva, Ses Fabrigas

Pale Italy wanyama waliokuwepo ni pamoja na Andrea Pirlo, Genaro Gattuso, Del Piero, Inzaghi Philipo.

Wanyama wa England: David Beckham, Frank Lampard, Stiven Gerard, Michael Carrick.

Pale Portugal alikuwepo: Ricardo Qwaresma, Luis Figo, Deco.

Kule uholanzi alikuwepo mwamba kama : Clerence Seerdorf, Ruben.

Kwa hiyo Rodri ashukuru Mungu sana kupata tuzo hiyo kwa sababu hata kimpira mwaka uliopita hakufika viwango vya Mbappe, Vini jr, Lamine Yamal, Benardo Silva.

Akina Gaiska Mendieta
 
Mpira wasaiv nimbinu zakocha tu ule udambwi dambwi haupo namie ndokitu napenda kuangalia kweny big games
 
Tuzo ilikiwa ya Rodriguez ama Dani C,,, ! Vinn timu ya taifa hajafanya kitu cha maana, nadhani hio imechangia kumuangusha,,,,

Kingine alivokuwa anafight against racism inawezekana imemuangusha pia.

Egoism pia anayo,,,,

Pia licha ya kuangalia performances zako na tuzo binafsi na za club na nchi yako , pia wanaangalia nidham yako,,, ! Inadaiwa vinni hana nidhamu nzuri kiviile
 
Tuzo ilikiwa ya Rodriguez ama Dani C,,, ! Vinn timu ya taifa hajafanya kitu cha maana, nadhani hio imechangia kumuangusha,,,,

Kingine alivokuwa anafight against racism inawezekana imemuangusha pia.

Egoism pia anayo,,,,

Pia licha ya kuangalia performances zako na tuzo binafsi na za club na nchi yako , pia wanaangalia nidham yako,,, ! Inadaiwa vinni hana nidhamu nzuri kiviile
Ngoja tuone mwaka huu nani atakiwasha zaidi ila imani yangu kwa vijana hawa watatu mmoja wao atachukua ya mwakani: Viniicious jr, lamine Yamal na kylian Mbappe
 
Vijana wa 2000 hakika wanakosa burudani sana katika mpira katika zama hizi ambapo kuna mabadiliko makubwa yanatokea kwenye mpira.
Ebu twende nyuma kidogo viungo waliowahi kucheza mpira mkubwa hapa duniani lakini hawakuweza kuchukua hiyo tuzo ya Ballon d or.

Pale France kulikuwa na wachezaji wa moto kama Claude Makelele, Patrick Viera, Thierry Henry, Robert Pires, Anelka, Frank Ribery, Paul Pogba.

Pale Agentina kulikuwa na miamba hii na haikuchukua Ballon dor ila walikuwa wanakiwasha balaa: Juan Veron, Gabriel Batstuta, Javier Masherano, Requlime, Sergio Aguero, Tevez, Angel Di maria.

Pale Spain kulikuwa na akina: Andres Iniesta, Xavi Alonso, Xavi Hernandez, Sergi Bosquet, David Silva, Ses Fabrigas

Pale Italy wanyama waliokuwepo ni pamoja na Andrea Pirlo, Genaro Gattuso, Del Piero, Inzaghi Philipo.

Wanyama wa England: David Beckham, Frank Lampard, Stiven Gerard, Michael Carrick.

Pale Portugal alikuwepo: Ricardo Qwaresma, Luis Figo, Deco.

Kule uholanzi alikuwepo mwamba kama : Clerence Seerdorf, Ruben.

Kwa hiyo Rodri ashukuru Mungu sana kupata tuzo hiyo kwa sababu hata kimpira mwaka uliopita hakufika viwango vya Mbappe, Vini jr, Lamine Yamal, Benardo Silva.
Hata hao hao madogo wa mwaka 2000 wakijiongeza mbona wanaona ukweli. Standard ya soka imeshuka vile vile kuna siasa zinapenyezwa kwenye hizi tuzo. Ngolo kante na yaaya toure katika ubora wao huyu rodri aingii hata robo.
 
Back
Top Bottom