sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 139
Ni CEO wa kampuni ya shepherd bushiri investment
Si iliishia kwenye ile video kamshirikisha Ne-yo,nahisi ilipata ajali wakati wakiwa locationKwani simba aliishia wapi na ndinga kama hii [emoji16][emoji16][emoji16]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Ndoto yangu hiyo miaka miwili ijayoKweli life is not fair and has never been fair at all
yaani anniversary tu zawadi ndinga Kali namna hiyo!!
Na kudinyana piauzuri wa haya mambo bwana,mungu aliyawekea usawa kwenye kifo tu...
wadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.
Umemjibu vizuri sana[emoji122] [emoji122]Sawa ndugu yangu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Si iliishia kwenye ile video kamshirikisha Ne-yo,nahisi ilipata ajali wakati wakiwa location
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
kuuza karangaKwani simba aliishia wapi na ndinga kama hii [emoji16][emoji16][emoji16]
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
Ngoja wakuto....ee ....alafu wakuzawadie na gariwadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.
[emoji4][emoji4][emoji4]uzuri wa haya mambo bwana,mungu aliyawekea usawa kwenye kifo tu...
kabla ya kifo??uzuri wa haya mambo bwana,mungu aliyawekea usawa kwenye kifo tu...