Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

Aisee Prophet Shepherd Bushiri, hii sifa sasa...

mke wa mchungaji anavaa suluari aisee inatisha.

Ni kipi kinatisha hapo jamani?? Kuwa mke wa mchungaji ndio avaeje?? Hiyo ni nguo ka nyingine tu mbona?? Nimefika Zimbabwe mbona wanavaa net ya mbu tu kanisani viwalo vyote nje na Roho anashuka tu, Mbona India wanaacha vitovu nje? Upako hauko nguoni
 
Angalia jamaa angalia mke, angalia magari, kuna dini hapo kweli? Unabii au utapeli wa imani za watu?!
 
In actual sense kanunua mwenyewe kwa pesa ya waumini wake maskini, hyo ya kusema mkewe kampa zawadi ni changa la macho tu ili msahau msingi wa hyo pesa. Kalaghabaho
 
Kuna watu wanatukanisha sana ukristo. Namuangalia huyo "mama mchungaji" nasikitika tu.

Lakini cha ajabu makanisa yao 'yanajaa'!
 
Kwanini asingelikataa au kuliuza na kuzawadia masikini hapo kanisani kwake, afterall anayo magari ya kifahari mengi tu?

Ofcourse he can't do that. Why should he do it? He is a human being afterall, ubinafsi ndo nature yetu. Hata Hummer la mzee wa Dude linawekwa mbele kabisa na anahubiri huku akiliangalia. "Mitume na Manabii" wa siku hizi ni matajiri kwelikweli.
 
Mimi mkristo ila ukristo wa ajabu hivi mavazi ya ajabu ajabu wanawalaghai watu na kudhalilisha Misingi ya imani.
 
wadada wa kibongo muwe mnatuzawadia waume zenu/mabwana zenu vitu kama hivo.sio "K" tu peke yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu kuu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mtumishi wa Mungu anaitwa Prophet Bushiri ni wa Malawi ana kanisa South Africa. Prophet Bushiri ni Mwanzilishi wa Kanisa la Enlightened Christian Gathering Church (ECG) na the Shepherd Bushiri Ministries International. Kanunuliwa gari na Mke wake aina ya Rolls Royce Ghost black barge model 2016. Hapa chini nmeweka screenshot na picha zinajieleza.

Allow me to take this opportunity to say a heartfelt thanks to my wife for the pre 30th July Anniversary gift.

This may look like a show off to others but for me it is a public appreciation as any normal husband would do.
The fact I am a Prophet does not substitute the fact that I, too, am a husband. That being said, I would also want to feel the same love and appreciation every normal man would want to feel.

Every love story has been recorded in the Bible with its own happy ending. Abraham and his wife Sarah had a lasting love built upon faith. Jacob and Rachel had a blissful union and guess what, just like my own Mary, the Bible says she was lovely to look upon!

As God continues to take me through the journey of the prophetic, I am grateful that he is also taking me through a journey of true love! I could not have asked for a better partner, friend or wife!

Having said that, I would like to say thank you to the world's best wife for the Rolls Royce Ghost black barge model 2016. This will motivate me as I serve Christ and not only me but many who you inspire as a wife of a prophet, seasoned business woman, C.E.O of Shepherd Bushiri Investments and above all, a believer of Christ.

25e4121ae3daad6fc9ef2efdb0ade022.jpg
792c1762367109e58356dd44968435af.jpg
53a77c5c1f4cc9e9a7a275b79531dfe5.jpg
be6c0b159dc95fa651ff918d506fb840.jpg
8a1df75443c854884c2c2b264d0e72cd.jpg
658b027f9483ed5380a32160741c33e0.jpg
Basi shetani akamwambia tena Bwana Yesu, nisujudie nami nitakupa milki yote ya ulimwengu......

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
But where did i woman gets the money to buy a car for her husband?
 
Wajinga ndio waliwao.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom