Aisee R.KELLY ni Noma sana.

This is the Radio Message to my baby...... Jamaa yuko poa
 
Bado haujaweza kujustify issue ya uhusiano kati ya tabia ya homosexuality na hilo neno.....ngoja nitafute clips au maandiko ambayo hiyo nahau imetumika bila kuhusishwa na homosexuality...... Ila nadhani nyuma ya huu msisitizo wako kuna ajenda ya siri ambayo unaijua wewe mwenyewe mwisho wa siku unatakiwa kuwa muwazi sio unazungumza ajenda nyingine ila matendo yanalenga kusisitiza jambo la tofuti.

SONY Xperia Z5 Premium
 
Sina cha ku justify hapa. Unaonyesha hata maana ya ku "justify" huielewi.

Hapa nnakupa darsa la lugha la bure. Elimu bila khiyana.
 
Sina cha ku justify hapa. Unaonyesha hata maana ya ku "justify" huielewi.

Hapa nnakupa darsa la lugha la bure. Elimu bila khiyana.

Wewe utakuwa ni wale wale tu wa kwenye closet, hauna tofauti na anaejiita Nyani Ngabu.

faiza bana kweli ni darasa huru hili.
 
Sina cha ku justify hapa. Unaonyesha hata maana ya ku "justify" huielewi.

Hapa nnakupa darsa la lugha la bure. Elimu bila khiyana.

Wewe utakuwa ni wale wale tu wa kwenye closet, hauna tofauti na anaejiita Nyani Ngabu.
Hauna lolote.......unapenda kushinda kwa nguvu bila hoja ya msingi, ila hapa umefika......nakukata kidiplomasia hadi utanyooka.

Ipo hivi, wewe hujui kuwa " Hiding in the closet" ni mojawapo ya modern idioms za lugha ya kiingereza ambayo maana yake ni kuficha siri yoyote ile. Sasa sijui wewe umetoka wapi na hiyo tafasiri yako ya kifreemason ukataka kila mtu aikubali kizembe zembe wakati si ya kweli na haupo sahihi.

Unachofanya hapa ni kupotosha na kutia dosari uzi ambao nadhani haujauelewa maudhui yake from the start.

SONY Xperia Z5 Premium
 
Mr. huyu jamaa ni noma, naichek now ni ubunifu mmoja matata sana ni km movie flan hiv.
 
Mimi my all time favourite song kutoka kwa Rkelly toka nausikia mara ya kwanza nikiwa darasa la nne early 2000 ni turn back the hands of time.
Yani haujawahi shuka chart kwangu na kwa hilo namkubari sana jamaa
Mimi nina fav kadhaa mkuu. Ila kuna hizi ambazo zilinisaidia katika mambo yetu yale ya watu wazima kutafuta mtoto usiku. Zikiwamo 12 Play....Honey Love na Your body is calling ..bila kusahau It seems like you ready. Huyu jamaa sio mtu spoti spoti. Nikiwa nimewasha mishumaa huku anaunguruma taratibu kwenye stereo na mimi natembeza gwaride kwa mama yoyoo.
 
Kuna ile whena woman is fed up,ile biti sjui alitengeneza mwenyewe bonge moja la songi
 
Kiukweli unanipa wasi wasi au una beef na R.kelly maana si kwa kumchafulia kazi yake namna hii....
.kwanza umesema haujaiona sasa umewezaje kuconclude kuwa ni ya mashoga.....?!

Ukiwa muongo uwe unakumbuka vema ujue?!

SONY Xperia Z5 Premium
Huyo mmama mzoee tu,baadhi ya wazee wakishastaafu wanapagawa wanakuwa wakorofikorofi,ndo matatizo ya kutumia vibaya kiinua mgongo,she is salty AF.JF ianzishe jukwaa wazee wakavu ili aache kutusumbua.nahisi atakuwa mjane pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…