Aisee uwanja wa KMC ni mzuri kuliko uwanja wa Azam

Aisee uwanja wa KMC ni mzuri kuliko uwanja wa Azam

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Wapewe maua yao hawa KMC,

Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC

Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati mkubwa,

Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex

Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam unaweza kutapika

Mzee bakhresa afanye kitu
 
Wapewe maua yao hawa KMC,

Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC

Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati,

Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex

Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam ujaweza kutapika

Mzee bakhresa afanye kitu
Picha
 
Nilipita hapo
 

Attachments

  • 20240709_141244.jpg
    20240709_141244.jpg
    2.6 MB · Views: 11
Nilisema hili mapema baadhi ya watu hawakuamini ni uwanja mzuri sana wapewe kongole Wana kinondoni Sasa wajenge na arena ndogo ya watu 2000 kwa ajili ya basketball netball handball na indoor games nyingine iwe na international standards
Hii wakiweza wajenge pale biafra
 
Back
Top Bottom