Aisee uwanja wa KMC ni mzuri kuliko uwanja wa Azam

Aisee uwanja wa KMC ni mzuri kuliko uwanja wa Azam

20240709_193748.jpg
KMC Stadium., Mwenge Dar Es Salaam
 
Wapewe maua yao hawa KMC,

Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC

Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati mkubwa,

Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex

Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam unaweza kutapika

Mzee bakhresa afanye kitu
Uwanja mzuri hongera kwa KMC.
 
Wapewe maua yao hawa KMC,

Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC

Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati mkubwa,

Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex

Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam unaweza kutapika

Mzee bakhresa afanye kitu
Vipi Mo bunju arena kunaendeleaje?
 
Umejengwa kwa kodi zenu, wana wekeza pale ambapo watu wengi hasa wajinga wanapenda, ilihali hapo hapo Dar Kinondoni unakuta kuna barabara na mitaro haifau kabisa.
Kwani michezo sio muhimu? Huo uwanja utawanufaisha sana tu wakazi wa Dar. Kwa hiyo unataka kusema maisha mengine yasiendelee hadi barabara zote zikamilike? Hakuna kitu kama hicho, pesa hiyo ya Kodi ingekuwa imeliwa sawa.
 
Back
Top Bottom