King Leon 1
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 245
- 342
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe sifa yako ni ipo?dah kweli majina husadifu sifa ya mtu.....
Uwanja mzuri hongera kwa KMC.Wapewe maua yao hawa KMC,
Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC
Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati mkubwa,
Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex
Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam unaweza kutapika
Mzee bakhresa afanye kitu
ilipo stend hii mpya ya mwenge, ni maeneo yale yale.........Huu uwanja nmemuuliza Khalid Chuku uko mitaa gani niende nika refresh ameuchuna...
UNaonekana mzuri sana naona wachezaji wa KMC wanatamba nao wiki hii
Mchezo wa basketball ni mtoko na raha yake iwe ktk arena mcheze usiku , km KigaliSawa kabisa maana ni rahisi kufika na kuondoka
TAIFA cup basketball imechezwa pale chinangali hadi ikakosa mvuto
Arena ni muhimu sana
Leo nilikuwepo upo nyuma ya Nakiete pharmacy , leo twenzetu km vipi tucheki gameHuu uwanja nmemuuliza Khalid Chuku uko mitaa gani niende nika refresh ameuchuna...
UNaonekana mzuri sana naona wachezaji wa KMC wanatamba nao wiki hii
Jamani nshachelewàLeo nilikuwepo upo nyuma ya Nakiete pharmacy , leo twenzetu km vipi tucheki game
Vipi Mo bunju arena kunaendeleaje?Wapewe maua yao hawa KMC,
Manispaa zingine nazo ziige mfano kwa KMC
Nilikuwa naangalia Kagame cup, nimeuangalia uwanja wa KMC nikajua mzee Bakhresa kafanya ukarabati mkubwa,
Mechi iliyofuata ya saa 12 nikashangaa kuona minazi na majumba nje ya kuta za uwanja ndipo nilipogundua kumbe ni azam complex
Aisee ukiungalia huu uwanja kisha ukaungalia uwanja wa azam unaweza kutapika
Mzee bakhresa afanye kitu
Kodi zenu hizo kwa asilimi 100View attachment 3037898KMC Stadium., Mwenge Dar Es Salaam
Umejengwa kwa kodi zenu, wana wekeza pale ambapo watu wengi hasa wajinga wanapenda, ilihali hapo hapo Dar Kinondoni unakuta kuna barabara na mitaro haifau kabisa.Uwanja mzuri hongera kwa KMC.
Kwani michezo sio muhimu? Huo uwanja utawanufaisha sana tu wakazi wa Dar. Kwa hiyo unataka kusema maisha mengine yasiendelee hadi barabara zote zikamilike? Hakuna kitu kama hicho, pesa hiyo ya Kodi ingekuwa imeliwa sawa.Umejengwa kwa kodi zenu, wana wekeza pale ambapo watu wengi hasa wajinga wanapenda, ilihali hapo hapo Dar Kinondoni unakuta kuna barabara na mitaro haifau kabisa.
Uwanja mzuri sanaa, nimesha ingia hapa.View attachment 3037898KMC Stadium., Mwenge Dar Es Salaam