TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

R.I.P Aisha
Hivi ndo yule mnenguaji au?maana Aisha madinda na asha baraka majina yao huwa yananichanganya

dar, hizi taarifa ndo nazipata leo aiseh, inauma sana kwa kwel, wapi ray c
 
Kwani Wewe Ulikuwa Hujui Kama Ni Muathirika Wa NGWENGWE Tokea Kipindi Kila Cha Hayati Amina Chifupa? Walikuwa Wakishea Bwana Wake Na Huko Kusema Sijui Eti Kafa Na Utumiaji Wa Utumiaji Wa Madawa Ya Kulevya Ni Kutaka Tu Kupoteza Lengo Na Kuficha Ukweli. Huyo Binti AMETUMIKA sana Na Mapedeshee Na Kuna Wakati Alikuwa Akienda Hadi MUSCAT Kuuza Tigo Yake Na Yeye Ndiyo Amewaambukiza Akina NYOOOSHA, ALIYE CHOKA na JIBANZE JIWE Na Kwa Sisi Wadau Wa Muziki Wa Dansi TUNALIJUA HILO MUDA MREFU Tu. Huu UGONJWA UMESHAWAUMIZA Wengi Tu Haswa Twanga Pepeta, FM Academia Na MASHUJAA Band.........Mtakaochukia au Kunichukia Kwa UKWELI Huu Poa Tu ILA Huyu Dada Namjua KINDAKI NDAKI! Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa JINA LAKE LIHIMIDIWE...Amina!

Mungu wangu!
 
Nimemsikia Ray c analia redioni leo kwamba amechelewa kidogo kufika mwananyamala kuchukua dozi ya matibabu ya uteja,wamemnyima dawa. Sasa alikua analia kama mtoto mdogo. DahTTaifa linaangamia jamani.
 
Kwani Wewe Ulikuwa Hujui Kama Ni Muathirika Wa NGWENGWE Tokea Kipindi Kila Cha Hayati Amina Chifupa? Walikuwa Wakishea Bwana Wake Na Huko Kusema Sijui Eti Kafa Na Utumiaji Wa Utumiaji Wa Madawa Ya Kulevya Ni Kutaka Tu Kupoteza Lengo Na Kuficha Ukweli. Huyo Binti AMETUMIKA sana Na Mapedeshee Na Kuna Wakati Alikuwa Akienda Hadi MUSCAT Kuuza Tigo Yake Na Yeye Ndiyo Amewaambukiza Akina NYOOOSHA, ALIYE CHOKA na JIBANZE JIWE Na Kwa Sisi Wadau Wa Muziki Wa Dansi TUNALIJUA HILO MUDA MREFU Tu. Huu UGONJWA UMESHAWAUMIZA Wengi Tu Haswa Twanga Pepeta, FM Academia Na MASHUJAA Band.........Mtakaochukia au Kunichukia Kwa UKWELI Huu Poa Tu ILA Huyu Dada Namjua KINDAKI NDAKI! Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa JINA LAKE LIHIMIDIWE...Amina!
ulifunguka sana hapa
 
ulifunguka sana hapa

Kama ' kawaida ' yangu kwani huwa sipendi ' unafiki ' na ' kuficha ficha ' vitu ambavyo ' kimsingi ' vipo tu wazi. Mkuu naona ' umeamua ' kupitia posts zangu mbalimbali tokea nianze kuwa Member humu JF kwani hii kitu ni ya ' zamani ' mno. Nakutakia kila la kheri katika ' juhudi ' zako za kunifuatilia na kunifanyia ' ushushushu ' wa ki ' v.i.p '.
 
Back
Top Bottom