Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mkuu umehamia Arusha?!
dont dare,wenyewe wanateseka sana aisee,nimefanya kazi na moja ya ngo
inashughulika na mambo ya drugs wao wenyewe wanalia bana
Jamani kafa, nilimkosa kidogo kabla ajaanza kubwia. Uwiii Maskini Asha wangu jamaaaaani!!!!!!
Jamani kafa, nilimkosa kidogo kabla ajaanza kubwia. Uwiii Maskini Asha wangu jamaaaaani!!!!!!
kuna mdau amepost kuwa amekufa kwa ngoma, kama ni kweli umenusurika mkuu