pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Habari za weekend wakuu,
Ni siku nyingine tena natumai ni wazima wa afya na mnaendelea na majukumu ya kila siku vizuri pamoja na walio mapumnziko.
Wakuu Kuna hili tatizo linalojirudia la huyo kipa anayeitwa (Tanzania one) na hakuna matumaini ya kuisha au kupungua kwani tatizo hili ni la mda mrefu Sana kwa kipa huyu wa club ya SIMBA.
MANULA ni dhaifu sana kwenye mipira iliyokufa (set pieces) na mipira ya mbali ambayo inaonekana Ina mpa shida kwa mda mrefu Sana, udhaifu huo ndio chanzo Cha SIMBA kupoteza michezo ya kimataifa kwa idadi kubwa ya magoli kutokana na tatizo Hilo la mda mrefu linalomtesa kipa huyo.
Jana SIMBA walikuwa na michezo wa ligi kuu dhidi ya MTIMBWA SUGER na kutoka sare ya bao moja kwa moja Ila mazingira ya goli alilofungwa MANULA ni aina ile ile ya magoli anayofungwa kila siku kwa makosa yale ya kutoka golini bila kuangalia movement za mabeki wake.
Hili tatizo ni la defense nzima ya simba kwa ujumla japo MANULA ndo muhanga wa mipira hiyo kwani anakosa, mawasiliano na mabeki Wake, tatizo Kama Hilo lilikuwa lina wasumbua Sana LIVER POOL msimu wa 2017/2018 - japo kuwa wenzetu huwa wana fanya match assessment, na seoson assessment ambapo ni tofauti na kwetu Ila walipunguza tatizo Hilo baada ya kumsajili VIRGIL VAN DIJK msimu ulio fuata na kufanikiwa kupunguza tatizo hilo.
Mlio karibu na kocha wa SIMBA wa makipa mumpe taarifa kwamba CCL zile tano kuna uwezo mkubwa wa kujirudia na zaidi Kama tahadhari zisipo chukuliwa mapema.
By- shabiki wa damu
Ni siku nyingine tena natumai ni wazima wa afya na mnaendelea na majukumu ya kila siku vizuri pamoja na walio mapumnziko.
Wakuu Kuna hili tatizo linalojirudia la huyo kipa anayeitwa (Tanzania one) na hakuna matumaini ya kuisha au kupungua kwani tatizo hili ni la mda mrefu Sana kwa kipa huyu wa club ya SIMBA.
MANULA ni dhaifu sana kwenye mipira iliyokufa (set pieces) na mipira ya mbali ambayo inaonekana Ina mpa shida kwa mda mrefu Sana, udhaifu huo ndio chanzo Cha SIMBA kupoteza michezo ya kimataifa kwa idadi kubwa ya magoli kutokana na tatizo Hilo la mda mrefu linalomtesa kipa huyo.
Jana SIMBA walikuwa na michezo wa ligi kuu dhidi ya MTIMBWA SUGER na kutoka sare ya bao moja kwa moja Ila mazingira ya goli alilofungwa MANULA ni aina ile ile ya magoli anayofungwa kila siku kwa makosa yale ya kutoka golini bila kuangalia movement za mabeki wake.
Hili tatizo ni la defense nzima ya simba kwa ujumla japo MANULA ndo muhanga wa mipira hiyo kwani anakosa, mawasiliano na mabeki Wake, tatizo Kama Hilo lilikuwa lina wasumbua Sana LIVER POOL msimu wa 2017/2018 - japo kuwa wenzetu huwa wana fanya match assessment, na seoson assessment ambapo ni tofauti na kwetu Ila walipunguza tatizo Hilo baada ya kumsajili VIRGIL VAN DIJK msimu ulio fuata na kufanikiwa kupunguza tatizo hilo.
Mlio karibu na kocha wa SIMBA wa makipa mumpe taarifa kwamba CCL zile tano kuna uwezo mkubwa wa kujirudia na zaidi Kama tahadhari zisipo chukuliwa mapema.
By- shabiki wa damu